ITOCHA (MAANA YAKE KUULIZA) NI
AINA YA MAFUNDISHO YA WATAKATIFU NDANI YA JAMAA TAKATIFU, KUTOSHA
WACHAGULIWA NDANI YA GIZI YA KUTOKUJUA
ITOCA 1
Q1.Nani anastahili kutafsiri ao kueleza maonyo?.
R.kila mchaguliwa anapashwa aeleze maonyo yake ao ya mtu mwengine na kuitafsiria kadiri ya imani na hekima yake.
Q2 Kuna umbalimbali kati ya ndoto ao maonyo?
R.ndio.ndoto ni filamu ao sauti mtu anaona ao kusikia,akiwa katika usingizi mzito(mkubwa).maono ni filamu ao sauti,mtu anayeona ao kusikia akiwa macho wazi ao nusu usingizi.
Q3.mchaguliwa ao jamaa takatifu,inaweza kuongozwa na ndoto ao maonyo tu?
R.Ndio na hapana.Maonyo ao ndoto zinaweza ongoza mchaguliwa vizuri ao vibaya kulingana na imani pia hekima yake;ila ndoto na maonyo tu haziwezi kuongoza mchaguliwa pekee tu.ila ukichanga na maandiko matakatifu,malumbano ya hoja,kitabu chenyi mihuri saba,ushuhuda na mashahuri ya viongozi mitume,mapasta,wainjilisti na wazee wa taifa takatifu,kuongezea maombi,mafungo na utowaji,pia utii.Kweli tena ndoto na maonyo yaweza kuongoza mchaguliwa na kumuharifu maneno yote itakayokuja,pia kumfunulia yale iliyopita.
Q4.Kuna maonyo ao ndoto isiyowezwa kuelezwa?
R.Ndio na hapana.Siri-siri ni mbinu za muharibifu.Lakini kunapashwakuwa siri takatifu,inayolindwa na wateule wa Mungu Mkubwa tu.Kwa sababu kushinda adui ni kujua siri yake.Kwa ajili ya kuaminiana,sherti mchaguliwa aseme ndoto na maonyo yake kwa mume,muke,ao mtoto wake.Zaidi aeleze kwa wachaguliwa wenzake,ao kwa viongozi,ikiwa ni nzito mno.
Q5.Ndoto ao maonyo,inaweza povusha imani ya mchaguliwa?
R.ndiyo.Ukimuendea muasi akufasirie ndoto,na kusema ulionyeshwa unavaa kanzu mweupe nayeye kanzu mweusi;atakujibu kama hivi(Unaona wewe umepotea na mimi nimeokoka.sababu wewe utakufa na mimi nitaishi.wewe ungali ku makanisa za wazungu,na mimi nachungwa na mababu weusi).Ndoto ni nzuri kwa walio wazuri,na ndoto ni mbaya kwa walio wabaya.
ITOCA 1
Q1.Nani anastahili kutafsiri ao kueleza maonyo?.
R.kila mchaguliwa anapashwa aeleze maonyo yake ao ya mtu mwengine na kuitafsiria kadiri ya imani na hekima yake.
Q2 Kuna umbalimbali kati ya ndoto ao maonyo?
R.ndio.ndoto ni filamu ao sauti mtu anaona ao kusikia,akiwa katika usingizi mzito(mkubwa).maono ni filamu ao sauti,mtu anayeona ao kusikia akiwa macho wazi ao nusu usingizi.
Q3.mchaguliwa ao jamaa takatifu,inaweza kuongozwa na ndoto ao maonyo tu?
R.Ndio na hapana.Maonyo ao ndoto zinaweza ongoza mchaguliwa vizuri ao vibaya kulingana na imani pia hekima yake;ila ndoto na maonyo tu haziwezi kuongoza mchaguliwa pekee tu.ila ukichanga na maandiko matakatifu,malumbano ya hoja,kitabu chenyi mihuri saba,ushuhuda na mashahuri ya viongozi mitume,mapasta,wainjilisti na wazee wa taifa takatifu,kuongezea maombi,mafungo na utowaji,pia utii.Kweli tena ndoto na maonyo yaweza kuongoza mchaguliwa na kumuharifu maneno yote itakayokuja,pia kumfunulia yale iliyopita.
Q4.Kuna maonyo ao ndoto isiyowezwa kuelezwa?
R.Ndio na hapana.Siri-siri ni mbinu za muharibifu.Lakini kunapashwakuwa siri takatifu,inayolindwa na wateule wa Mungu Mkubwa tu.Kwa sababu kushinda adui ni kujua siri yake.Kwa ajili ya kuaminiana,sherti mchaguliwa aseme ndoto na maonyo yake kwa mume,muke,ao mtoto wake.Zaidi aeleze kwa wachaguliwa wenzake,ao kwa viongozi,ikiwa ni nzito mno.
Q5.Ndoto ao maonyo,inaweza povusha imani ya mchaguliwa?
R.ndiyo.Ukimuendea muasi akufasirie ndoto,na kusema ulionyeshwa unavaa kanzu mweupe nayeye kanzu mweusi;atakujibu kama hivi(Unaona wewe umepotea na mimi nimeokoka.sababu wewe utakufa na mimi nitaishi.wewe ungali ku makanisa za wazungu,na mimi nachungwa na mababu weusi).Ndoto ni nzuri kwa walio wazuri,na ndoto ni mbaya kwa walio wabaya.
ITOCA2
Q1.Namna gani mchaguliwa anaweza kusaidia roho ya mtu kiisha kufa isihangaike wala kuhangaishwa?
R.Hauwezi kusaidia roho ya mtu kiisha kufa isihangaike,kama wewe mwenyewe roho yako kimwili ao kiroho,ingali bado inahangaika kimwili wala kiroho.Kama unahakikisha ndani mwako yakama una amani ndani ya roho yako kwanza,na unaimani kwa Mungu Mkubwa wako Ahmirado;yatosha kwako,kutaja jina ya Yule aliyekufa,na kusema tu kwa sauti yako,nia na manuwizi yako mema kwa ajili ya wokovu kiroho ya roho ya Yule aliye hamishwa.Unaweza fanya vilevile hata kwa roho ao mioyo ya watu waliokufa wasio wachaguliwa.Lakini ni vema kuokoa roho ya mtu kabla hajakufa,kuliko kiisha yeye kufa.
Q2.Kuomba na kunuwia roho ya mtu aliyekufa inatosha hiyo peke yake tu,kumkomboa kiroho?
R.Hapana.mchaguliwa ao kiongozi anapashwa fanya mafungo ya siku tatu,kwa kunuia roho ya mchaguliwa aliye hamishwa,akitaja jina lake na jina jipya.
Q3.Tutajuwaje na kuhakikisha yakama maombi tuliyofanya kwa mchaguliwa aliye hamishwa yakama imefaulu?
R.Ni kwepesi kutambua yakama maombi imefaulu ao la.Kwa sababu utapata alama tu,kimwili wala kiroho;mbele ya siku 40 kiisha kufa kwake.
Q4.Halafu kama mtu tunaye ombea roho yake,alikua na zambi nyingi bila sisi kujua,maombo yetu itakuwa na maana gani ajili ya roho yake?
R.Mtu aliyekufa,hana tena zambi atakayo fanya.Kwa hiyo,tangu siku ya kufa kwake,mpaka umilele wa roho yake ni utakatifu tu.Njo kwa maana;awe na zambi wakati alikuwa duniani,haiwahusu nyinyi mulio duniani kwani hukumu si yenu.
Q5.Kuna watu walio na uwezo waku hangaisha roho na nafsi ya mtu aliyekufa kwa uchawi ao maarifa ya uharibifu?
R.Ndio.wanao uwezo wakuhangaisha roho na nafsi ya mtu aliyekufa,ila nao pia kiisha kufa,wanahangaishwa.kwa hiyo,ni peke yake Mungu Mkubwa,anayo uwezo wa kifo na uzima,Baraka na laana.
Q6.Kwa nini jamaa takatifu inamuita shetani zaidi kuwa mharibifu?
R.Kwa sababu hata jina la Yesu linaweza tumikishwa kwa ushetani,na shetani kwa u Yesu.Maji ni mazuri na matamu kwa kunywa.Ila ukizama majini;maji hiyo inageuka shetani kwako.Mvua ni Mungu kwa mashamba na ni shetani kwa maporomoko na minyonyomoko.Muwe mukijua.Muharibifu njo adui zaidi.
ITOCA3
Q1.Yafaa watu walipe ajili ya kuombewa?
R.Inaombwa mtu kula ili aishi?
Ndio.Yeyote anayepewa neema kimwili wala kiroho na Mungu Mkubwa,ndani ya taifa la jamaa takatifu;sherti atoe shukrani kadiri ya uwezo wake.Sela.
Q2.Kiongozi ndani ya jamaa takatifu anapashwa kutumika kazi zingine za kimwili na kuacha kazi ya taifa la jamaa takatifu?
R.hapana.Kazi ya mwili haiwezivunja kazi za roho.Ila kama kazi hizo za mwili zinasaidia kuinua kazi za kiroho nivema mchaguliwa wala kiongozi,kutumika kazi zote;zaidi kama wachaguliwa wanashindwa kumulea.Ila kazi hizi,zisiwe mwanzo la anguko kwake,wala kwa wachaguliwa.Mfano ni kwamba;baba Mtukufu mwenyewe anatumika na anatafuta.Shahuri nikwamba;mchaguliwa asingojelee aombwe mchango ao msaada.Anapashwa saidia na kuhudumia viongozi ao wachaguliwa wenzake kila siku kama vile anavyo hudumia jamaa lake.
Q3.Sadaka gani zaidi yamfurahisha Mungu Mkubwa hasa?
R.sadaka maana yake SAA.DAKIKA NA KAMILI. Yaani : SA-DA-KA.
Toa kwa saa na dakika inayo hitajika,na sadaka yako iwe kamili,apana kilema wala kipande.Ni sadaka ya faida gani,wakati mwenye nyama anaitoa kwa moto wakati imekwisha oza?Ao mwenyi moto,kukaribisha mwenyi nyama na moto imezimika?
Q4.Naweza towa;ni raisi.Alafu kujitolea ni nini?
R.Ndio.Kuna umbalimbali katika sadaka.Kuna sadaka ndogo.Kuna sadaka kubwa.sadaka ndogo yaleta mibaraka midogo,na sadaka kubwa yaleta mibaraka Mikubwa.Kutoa kitu chako ni sadaka ndogo na kujitowa mwenyewe ni sadaka kubwa saaana.
Q5.Halafu kama unatoa mbuzi ao kondoo kwa Mungu Mkubwa ;nayo inakata kamba na kukimbia ;itakuwa kosa ya mbuzi ao ya Kamba ?
R.Mbuzi kukata kamba,sio kosa ya mbuzi wala ya kamba ;ila ni kosa ya mwenyi mbuzi.Sherti alipe mbuzi ingine ;wala ajitie panafasi ya mbuzi ;na afungwe kamba mwenyewe .Muwe mukijuwa.
R.Hauwezi kusaidia roho ya mtu kiisha kufa isihangaike,kama wewe mwenyewe roho yako kimwili ao kiroho,ingali bado inahangaika kimwili wala kiroho.Kama unahakikisha ndani mwako yakama una amani ndani ya roho yako kwanza,na unaimani kwa Mungu Mkubwa wako Ahmirado;yatosha kwako,kutaja jina ya Yule aliyekufa,na kusema tu kwa sauti yako,nia na manuwizi yako mema kwa ajili ya wokovu kiroho ya roho ya Yule aliye hamishwa.Unaweza fanya vilevile hata kwa roho ao mioyo ya watu waliokufa wasio wachaguliwa.Lakini ni vema kuokoa roho ya mtu kabla hajakufa,kuliko kiisha yeye kufa.
Q2.Kuomba na kunuwia roho ya mtu aliyekufa inatosha hiyo peke yake tu,kumkomboa kiroho?
R.Hapana.mchaguliwa ao kiongozi anapashwa fanya mafungo ya siku tatu,kwa kunuia roho ya mchaguliwa aliye hamishwa,akitaja jina lake na jina jipya.
Q3.Tutajuwaje na kuhakikisha yakama maombi tuliyofanya kwa mchaguliwa aliye hamishwa yakama imefaulu?
R.Ni kwepesi kutambua yakama maombi imefaulu ao la.Kwa sababu utapata alama tu,kimwili wala kiroho;mbele ya siku 40 kiisha kufa kwake.
Q4.Halafu kama mtu tunaye ombea roho yake,alikua na zambi nyingi bila sisi kujua,maombo yetu itakuwa na maana gani ajili ya roho yake?
R.Mtu aliyekufa,hana tena zambi atakayo fanya.Kwa hiyo,tangu siku ya kufa kwake,mpaka umilele wa roho yake ni utakatifu tu.Njo kwa maana;awe na zambi wakati alikuwa duniani,haiwahusu nyinyi mulio duniani kwani hukumu si yenu.
Q5.Kuna watu walio na uwezo waku hangaisha roho na nafsi ya mtu aliyekufa kwa uchawi ao maarifa ya uharibifu?
R.Ndio.wanao uwezo wakuhangaisha roho na nafsi ya mtu aliyekufa,ila nao pia kiisha kufa,wanahangaishwa.kwa hiyo,ni peke yake Mungu Mkubwa,anayo uwezo wa kifo na uzima,Baraka na laana.
Q6.Kwa nini jamaa takatifu inamuita shetani zaidi kuwa mharibifu?
R.Kwa sababu hata jina la Yesu linaweza tumikishwa kwa ushetani,na shetani kwa u Yesu.Maji ni mazuri na matamu kwa kunywa.Ila ukizama majini;maji hiyo inageuka shetani kwako.Mvua ni Mungu kwa mashamba na ni shetani kwa maporomoko na minyonyomoko.Muwe mukijua.Muharibifu njo adui zaidi.
ITOCA3
Q1.Yafaa watu walipe ajili ya kuombewa?
R.Inaombwa mtu kula ili aishi?
Ndio.Yeyote anayepewa neema kimwili wala kiroho na Mungu Mkubwa,ndani ya taifa la jamaa takatifu;sherti atoe shukrani kadiri ya uwezo wake.Sela.
Q2.Kiongozi ndani ya jamaa takatifu anapashwa kutumika kazi zingine za kimwili na kuacha kazi ya taifa la jamaa takatifu?
R.hapana.Kazi ya mwili haiwezivunja kazi za roho.Ila kama kazi hizo za mwili zinasaidia kuinua kazi za kiroho nivema mchaguliwa wala kiongozi,kutumika kazi zote;zaidi kama wachaguliwa wanashindwa kumulea.Ila kazi hizi,zisiwe mwanzo la anguko kwake,wala kwa wachaguliwa.Mfano ni kwamba;baba Mtukufu mwenyewe anatumika na anatafuta.Shahuri nikwamba;mchaguliwa asingojelee aombwe mchango ao msaada.Anapashwa saidia na kuhudumia viongozi ao wachaguliwa wenzake kila siku kama vile anavyo hudumia jamaa lake.
Q3.Sadaka gani zaidi yamfurahisha Mungu Mkubwa hasa?
R.sadaka maana yake SAA.DAKIKA NA KAMILI. Yaani : SA-DA-KA.
Toa kwa saa na dakika inayo hitajika,na sadaka yako iwe kamili,apana kilema wala kipande.Ni sadaka ya faida gani,wakati mwenye nyama anaitoa kwa moto wakati imekwisha oza?Ao mwenyi moto,kukaribisha mwenyi nyama na moto imezimika?
Q4.Naweza towa;ni raisi.Alafu kujitolea ni nini?
R.Ndio.Kuna umbalimbali katika sadaka.Kuna sadaka ndogo.Kuna sadaka kubwa.sadaka ndogo yaleta mibaraka midogo,na sadaka kubwa yaleta mibaraka Mikubwa.Kutoa kitu chako ni sadaka ndogo na kujitowa mwenyewe ni sadaka kubwa saaana.
Q5.Halafu kama unatoa mbuzi ao kondoo kwa Mungu Mkubwa ;nayo inakata kamba na kukimbia ;itakuwa kosa ya mbuzi ao ya Kamba ?
R.Mbuzi kukata kamba,sio kosa ya mbuzi wala ya kamba ;ila ni kosa ya mwenyi mbuzi.Sherti alipe mbuzi ingine ;wala ajitie panafasi ya mbuzi ;na afungwe kamba mwenyewe .Muwe mukijuwa.
ITOCA4.
KWA AJILI YA UFUFUKO WA WAFU
Q1.Ufufuko wa wawafu,nikatika kimwili ao katika kiroho ?
R.Ufufuko wa wafu ni katika mwili na katika roho.Tunafufuliwa kutoka katika kutokujua kweli,na tunafufuliwa ndani ya kweli.Njo kwa maana imeandikwa,waliokufa watafufuka na kuinuliwa na walio wazima watabadilika.Yaani ;kubadilika ni kufufuliwa.Sela.
Q2.Lugha gani wafu wanasema ?
R.Wafu wote wanasema na kusikia lugha zote.ila wanasema lugha ya Bubu na ya Zamiri Roho.Yaani kuzungumuza kwa sauti ya ndanindani.
Q3.OLAMEN ni lugha gani na inafaa kwa nini ?
R.Olamen ni lugha Adam na Eva walikuwa nazungumza katika bustani la Edeni.Pia ni lugha wa Babeli walikuwa nazungumza,wakati walikuwa najenga mnara wa babeli ya kwanza.Malaika wanaijua na kuisema.Majini na pepo zote zinaijua na kuisema.Wenyi kutuma na kuamuru wafu,wanawaamuru,kupitia lugha Olamen.Lugha Olamen inaandikwa na kusomeka kuendea kushoto.Yaani(de droite à gauche).
Q4.Mtu akikutanana na mufu,ao na roho(esprit),akimbie ao aseme nayo ?Na atasema nayo nini ?Namna gani ?
R.Jina jipya Ahmirado ;kuisema mara saba tu,njo dawa na silaha ya kuongea na malaika,roho(esprit)ao wafu wazuri ao wabaya.Ukisema ahmirado mbele ya roho mbaya,inapashwa kukimbia ao kukosa nguvu yoyote.Ikiwa ni roho nzuri,inapashwa kukupatia habari muhimu,wala haitazuru mchaguliwa.
Q5.Mchaguliwa anaweza jua kama yu karibu kufa ?
R.Ndio.Inapashwa mchaguliwa awe tayari kupokea habari na ujumbe nzuri ao mbaya toka kwa Mungu Mkubwa,hata kama ni ujumbe wa kuhamishwa kwake.Na kama mchaguliwa anapata ugonjwa unao endelea ;sherti atajarishe roho na maisha yake ya kiisha kufa.Wala kufa sio ajali ;bali ahadi timamu kwa watu wote.(promesse accomplie).
Q6.Mchaguliwa akihamishwa ,tufanye nini tujue kama amesafiri vizuri na wachawi wabaya wasisumbue roho yake ?
R.Inafaa makuhani,viongozi ao mchaguliwa yeyote kwanza apate karamu ya mwisho.Pili ataje jina jipya kwenyi mwili wa mufu,ao kutaja jina lake(mufu) mara saba na jina jipya mara saba.Ao kukaburi lake,ananuia mharibifu asipasogelee.Ila siri kubwa kwa ajili ya ufufuko wa wafu ni jina jipya Ahmirado tu.
Q7.Kwanini karamu ya mwisho ?
R.Karamu ya mwisho ni uzima wa milele.
Inageuza ukoo wa mwili na wa roho ;kutosha watu katika kizazi cha nyoka na kuingizwa ndani ya kizazi cha mwana kondoo wa Mungu Mkubwa.
Q8.Anayepata karamu ya mwisho hawezi potea ?
R.hapana,hawezi potea kamwe.Ila kama hakutembea ndani ya mapenzi ya Mungu Mkubwa ku dunia,kiisha kufa anapita ndani ya matohara makubwa na yakudumu kadiri ya ubaya aliyotenda ku dunia.Baadaye kama kiisha myaka mia,elfu;katika mateso na kuangaika matoharani;mchaguliwa aliyepokea karamu ya mwisho,anaingizwa paradizo.
Q9.Kama mchaguliwa anakataa kupokea karamu ya mwisho,maana yake nini?
R.kama mchaguliwa akikataa kupokea karamu ya mwisho;kwanza huyo sio mtu na sio mchaguliwa.Pili;anastahili kutendewa kama vile nyama.
Q10.Damu,Damu,Damu;inakazi gani katika ufalme wa Mungu Mkubwa?
R.Ufalme na Damu ni kitu kimoja.Ufalme njo damu,na damu njo ufalme.Kwasababu ufalme inachunga uzima wa watu wake,yaani damu yao.Na pasipo damu hakuna ufalme.yaani,bila watu hakuna mwami wala bwami.Ufalme ni watu na watu njo ufalme.Hata kama watu ni wachache,nao wana msimamo;kweli watasimamisha ufalme wa Mungu Mkubwa.
Q11.Yafaa kumwanga damu kwa kusimamisha ufalme wa Mungu Mkubwa?
R.Hapana hata kidogo.mchaguliwa hawezi kupanga kumwanga damu,ili ufalme wa Mungu usimame.Ila DAMU yenyewe itajimwanga tu,mahali kunapo patikana ufalme,utake,usipotaka.Sela.
Q12.Kifo cha adui wa ufalme wa Mungu Mkubwa,kina mafaa gani?
R.kifo cha kila mtu kinaleta huzuni.lakini,ndani ya tumbo la simba,aliyeua samsoni,kulitokea asali.Ingawa kama adui wa ufalme wa Mungu Mkubwa akifa katika harakati yakuwazuru watoto wa Mungu;kweli,faida iko tele,tele,tele.Vivyohivyo na kufa kwa mtakatifu,anayefia neno ndani ya mapenzi ya Mungu Mkubwa;ni faida kweli,kweli,kweli,kiroho kwa wachaguliwa.
Q13.Watu wa dunia wakifanya vita,sisi watakatifu tutaenda upande gani?
R.Watakatifu hawana upande wakutegemea.isipokuwa upande wa baba wa mbingu,ulio upande wa haki na kweli.muwe mukijuwa.
Q14.Jicho kwa jicho na jino kwa jino mu jamaa takatifu?
R.hapana.mu jamaa takatifu ni jicho kwa roho na jino kwa roho.Unatoboa jicho la mchaguliwa,unaondolewa roho.Unatoa jino la mchaguliwa,unaondolewa roho.Angalisho na kumwanga damu,ao kuzuru maisha ya mchaguliwa.Pia,kwa ajili ya rehema kubwa tuliyopewa;asamehewa hata mtu Yule aliyeuwa na anaye endelea kuuwa,kama ametubu.
Baba Mtukufu
Mwangaza wa Dunia.
Baraka-Mwambango-Betheli le 7/7/2009
KWA AJILI YA UFUFUKO WA WAFU
Q1.Ufufuko wa wawafu,nikatika kimwili ao katika kiroho ?
R.Ufufuko wa wafu ni katika mwili na katika roho.Tunafufuliwa kutoka katika kutokujua kweli,na tunafufuliwa ndani ya kweli.Njo kwa maana imeandikwa,waliokufa watafufuka na kuinuliwa na walio wazima watabadilika.Yaani ;kubadilika ni kufufuliwa.Sela.
Q2.Lugha gani wafu wanasema ?
R.Wafu wote wanasema na kusikia lugha zote.ila wanasema lugha ya Bubu na ya Zamiri Roho.Yaani kuzungumuza kwa sauti ya ndanindani.
Q3.OLAMEN ni lugha gani na inafaa kwa nini ?
R.Olamen ni lugha Adam na Eva walikuwa nazungumza katika bustani la Edeni.Pia ni lugha wa Babeli walikuwa nazungumza,wakati walikuwa najenga mnara wa babeli ya kwanza.Malaika wanaijua na kuisema.Majini na pepo zote zinaijua na kuisema.Wenyi kutuma na kuamuru wafu,wanawaamuru,kupitia lugha Olamen.Lugha Olamen inaandikwa na kusomeka kuendea kushoto.Yaani(de droite à gauche).
Q4.Mtu akikutanana na mufu,ao na roho(esprit),akimbie ao aseme nayo ?Na atasema nayo nini ?Namna gani ?
R.Jina jipya Ahmirado ;kuisema mara saba tu,njo dawa na silaha ya kuongea na malaika,roho(esprit)ao wafu wazuri ao wabaya.Ukisema ahmirado mbele ya roho mbaya,inapashwa kukimbia ao kukosa nguvu yoyote.Ikiwa ni roho nzuri,inapashwa kukupatia habari muhimu,wala haitazuru mchaguliwa.
Q5.Mchaguliwa anaweza jua kama yu karibu kufa ?
R.Ndio.Inapashwa mchaguliwa awe tayari kupokea habari na ujumbe nzuri ao mbaya toka kwa Mungu Mkubwa,hata kama ni ujumbe wa kuhamishwa kwake.Na kama mchaguliwa anapata ugonjwa unao endelea ;sherti atajarishe roho na maisha yake ya kiisha kufa.Wala kufa sio ajali ;bali ahadi timamu kwa watu wote.(promesse accomplie).
Q6.Mchaguliwa akihamishwa ,tufanye nini tujue kama amesafiri vizuri na wachawi wabaya wasisumbue roho yake ?
R.Inafaa makuhani,viongozi ao mchaguliwa yeyote kwanza apate karamu ya mwisho.Pili ataje jina jipya kwenyi mwili wa mufu,ao kutaja jina lake(mufu) mara saba na jina jipya mara saba.Ao kukaburi lake,ananuia mharibifu asipasogelee.Ila siri kubwa kwa ajili ya ufufuko wa wafu ni jina jipya Ahmirado tu.
Q7.Kwanini karamu ya mwisho ?
R.Karamu ya mwisho ni uzima wa milele.
Inageuza ukoo wa mwili na wa roho ;kutosha watu katika kizazi cha nyoka na kuingizwa ndani ya kizazi cha mwana kondoo wa Mungu Mkubwa.
Q8.Anayepata karamu ya mwisho hawezi potea ?
R.hapana,hawezi potea kamwe.Ila kama hakutembea ndani ya mapenzi ya Mungu Mkubwa ku dunia,kiisha kufa anapita ndani ya matohara makubwa na yakudumu kadiri ya ubaya aliyotenda ku dunia.Baadaye kama kiisha myaka mia,elfu;katika mateso na kuangaika matoharani;mchaguliwa aliyepokea karamu ya mwisho,anaingizwa paradizo.
Q9.Kama mchaguliwa anakataa kupokea karamu ya mwisho,maana yake nini?
R.kama mchaguliwa akikataa kupokea karamu ya mwisho;kwanza huyo sio mtu na sio mchaguliwa.Pili;anastahili kutendewa kama vile nyama.
Q10.Damu,Damu,Damu;inakazi gani katika ufalme wa Mungu Mkubwa?
R.Ufalme na Damu ni kitu kimoja.Ufalme njo damu,na damu njo ufalme.Kwasababu ufalme inachunga uzima wa watu wake,yaani damu yao.Na pasipo damu hakuna ufalme.yaani,bila watu hakuna mwami wala bwami.Ufalme ni watu na watu njo ufalme.Hata kama watu ni wachache,nao wana msimamo;kweli watasimamisha ufalme wa Mungu Mkubwa.
Q11.Yafaa kumwanga damu kwa kusimamisha ufalme wa Mungu Mkubwa?
R.Hapana hata kidogo.mchaguliwa hawezi kupanga kumwanga damu,ili ufalme wa Mungu usimame.Ila DAMU yenyewe itajimwanga tu,mahali kunapo patikana ufalme,utake,usipotaka.Sela.
Q12.Kifo cha adui wa ufalme wa Mungu Mkubwa,kina mafaa gani?
R.kifo cha kila mtu kinaleta huzuni.lakini,ndani ya tumbo la simba,aliyeua samsoni,kulitokea asali.Ingawa kama adui wa ufalme wa Mungu Mkubwa akifa katika harakati yakuwazuru watoto wa Mungu;kweli,faida iko tele,tele,tele.Vivyohivyo na kufa kwa mtakatifu,anayefia neno ndani ya mapenzi ya Mungu Mkubwa;ni faida kweli,kweli,kweli,kiroho kwa wachaguliwa.
Q13.Watu wa dunia wakifanya vita,sisi watakatifu tutaenda upande gani?
R.Watakatifu hawana upande wakutegemea.isipokuwa upande wa baba wa mbingu,ulio upande wa haki na kweli.muwe mukijuwa.
Q14.Jicho kwa jicho na jino kwa jino mu jamaa takatifu?
R.hapana.mu jamaa takatifu ni jicho kwa roho na jino kwa roho.Unatoboa jicho la mchaguliwa,unaondolewa roho.Unatoa jino la mchaguliwa,unaondolewa roho.Angalisho na kumwanga damu,ao kuzuru maisha ya mchaguliwa.Pia,kwa ajili ya rehema kubwa tuliyopewa;asamehewa hata mtu Yule aliyeuwa na anaye endelea kuuwa,kama ametubu.
Baba Mtukufu
Mwangaza wa Dunia.
Baraka-Mwambango-Betheli le 7/7/2009
ITOCA 5
Q1.SADAKA YA KILEMA NA YA KIPANDE NI GANI?
R1.Sadaka ya kilema ni ile ya kutolewa baada ya masito mengi na manunguniko.Tena ni ile sadaka inayo tolewa juu ni masalio.Mfano ;Kula nyama na kumtolea Mungu Mkubwa mifupa.je !Muumba amegeuka umbwa,ili baada ya kukuwindia yeye ale mifupa na wewe ule minyofu ?
Sadaka kipande ni mapatano ao ahadi uliyo muahidia Mungu Mkubwa yakama utatimiza,baadae unageuka wala unatimiza leo na kesho na kuanza kuregea.Wewe uliyekuwa unafanya zamu ya Mungu Mkubwa ;unaanza kushindwa kuamka,kupiga magoti usiku kwa kuomba.Sadaka ya kilema ni shukrani ya punda,ni imani ya macho.Ni baada ya kumuimbia Mungu Mkubwa mchana ;usiku uko ndani ya nyumba ya walozi.Unashuhudia sasa hivi makubwa ya Mungu Mkubwa,na huko pembeni unakufuru ajili tu ya kazi ao mapenzi mengine ya Mungu Mkubwa.Ni heri kutokutoa sadaka,kuliko kuitoa vibaya.
Q2.MARIA MAGDALENA ALITOA SADAKA GANI ?
R2.Hakuna umbalimbali kati ya sadaka ya maria magdalena na ile ya Abraham . Abraham alimtoa mwanaye wa pekee isaka.Naye maria magdala hakuwa na mtoto,ila alikuwa na chombo chake,alicho tumia mbele kwa njia ya uharibifu kabla hajakutana na Yesu Kristu wa Kweli.Chombo hicho kilikuwa ni ;UJANA WAKE,UREMBO WAKE,UTUPU WAKE,UJUZI WAKE,na JUHUDI pia ULEZI wake.
Q3.Sasa yeye Abraham,kwa kupata neema ya kuzaa isaka kwa uzee wake,alitoa nini ?
R3.Abraham mbele amtoe isaka,alitoa vitu vingi tu.Mbele ya yeye kuitwa rafiki wa Mungu Mkubwa,aliitwa pia baba wa imani,kwanza kwa njia ya matoleo.Bila matoleo hakuna urafiki.Na bila matoleo hakuna imani.Abraham alichunia wamalaika watatu mfano wa Mungu Mkubwa Kondoo dike,mfano wa mke wake sarai.Ndipo mibaraka ya uzazi ilipo tokea.Sela.Naye sarai,akatolea Abraham kijakazi Hagari,ili mibaraka aliyopewa itimilike kwake.Muwe mukijuwa.
Q4.SADAKA YA UJANA,YA UREMBO,YA UTUPU,YA UJUZI,YA JUHUDI,YA ULEZI NI GANI ?
R4
-Kijana ni mtu mwenyi nguvu,mjanja na mwerevu ;pia mwepesi zaidi.Sherti atumikishe moto iliyo ndani mwake sasa,kwa kuendelesha kazi ya Mungu Mkubwa kwa nyimbo,maombi,mahubiri,kazi za jasho na za akili,pia vita vitakatifu,ajili ya utawalo wa Mungu Mkubwa.Ujana wako mchaguliwa,isiwe ajili ya sifa mbaya,uasherati,ulevi,magomvi,wizi mbaya,na uuaji.Kutanisha na kupatanisha watu,bado ungali na wakati ndefu.Wengine wanaanza hesabu ma dakika tu ajili ya umri wao wa maisha.
-Urembo ni kitu kizuri cha kuvutia.Urembo wa mtoto wa Mungu Mkubwa,sherti uvutie watu kwa tabia nzuri.Sukari ao chumvi iwe ndani ya kinywa chako na ndani ya macho yako.Kusiwe kiburi,bali ubani mtakatifu.Sauti nyororo na cheko ya heshima pia mashauri ya utulivu ni urembo mtakatifu.Mtu mrembo na mwenyi hekima humpyana Mfalme ao Malkia katika kiti chake,bado huyo angali hai.
-Utupu ni utukufu.Baba mtukufu,maana yake Baba wa Utupu,yaani utukufu mtupu.Mungu Mkubwa hajionyeshe wazi kwa watu,kwa sababu yeye ni mtupu,wala havai nguo hata moja.Alama na mapito yake kwa kumtambua ni mwingi wa mwangaza na kweli.Ndio kwa maana anaitwa kweli,kweli,kweli « VUA MAVAZI YAKO YOTE,HAPA NI PAHALI PATAKATIFU ».Maana yake,usisubutu kusema uongo mbele zake,kwani jicho lake toka mbinguni limewashukia ;kukaa pamoja nanyi milele.Na hili jicho ni baba mtukufu.Utoshe haya yako,na kujizuia kwa yote iliyo mapenzi ya Mungu Mkubwa.Sela.Utupu wako ni wa Mungu Mkubwa ;na utupu wa Mungu Mkubwa ni wako.MIMI NDANI MWENU,NA NYINYI NDANI MWANGU,ALISEMA.ANASEMA NA ATASEMA BWANA.
-Ujuzi ni vyoote tena vyoote mchaguliwa anajuwa.viwe vibaya ao vizuri,vina mafaa na faida yake,pia wakati wake wa kutumikia Mungu Mkubwa.Sema unachojuwa ;toa unachokuwa nacho,kiwe kidogo ao kikubwa.Kwani Mungu Mkubwa peke yake atatenga magugu na ngano.
Ni nani aliyejua yakama ujuzi mbaya,aliye jifunza Musa kwa farao,itageuka ukombozi wa taifa la Israel ?Na nani alifahamu yakama ;umalaya na ujuzi wa kimapepo mbaya wa maria magdala ;baada ya kutubu,utageuka nguvu na siri ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo wa kweli Kaburini ?.
Asiyetoa ujuzi ;huyo ndiye YUDA ESKARIOT.Kuna maria mama wa Yesu,huyu ni mama wa mchana.na maria magdalena,huyu ni mama wa usiku.Na wote wanafaa kwa kazi bora,muwe mukijua.Yaani maria mama wa yesu ni mama wa maombi,yaani wa kitanda.na Maria magdala ni mama wa machozi,yaani wa Kaburi.
-Ulezi ni namna ya kulisha,kuosha,kuvika,kutunza,kubembeleza,kupakaa,kukaribisha,kushahuria,kusaidia na kuvumilia.Bila hii malezi,hakuwezi kuwa masikilizano hata kati ya wamalaika.Kosa moja shetani mharibifu mbinguni alifanya ;ni kukosa ulezi kwa Muumba wake na kwa viumbe vyake pia.Lea vizuri na utakuza vizuri.Sela.
Q5/UTAMTAMBUA NAMNA GANI MTU ANAYEKUWA NA PEPO?
R5/Kwanza kila mtu ana pepo moja.yaani,ile roho yake,inayokaa ndani mwake(esprit yake).Ila,akiwa na roho(esprit)ingine ndani mwake,isiyokuwa ao isiyotoka kwa mungu Mkubwa,sasa anakuwa mwenyi mapepo.yaani mtu asiye jiongoza tena peke yake,ila na nguvu fulani ndani mwake.
Q6/Tutamtambua sasa mwenyi mapepo je ?
R6/Kwanza mtu anaye amini na kuogopa ogopa sana mapepo,huyo ana mapepo inayo jificha.Kwa sababu pepo iliyo ndani mwake,inaogopa kukutanana na pepo ingine,ili wasi mgundue,labda watamuhamisha ao kumfukuza.
Q7/NJIA ZA MAPEPO, MAKAO NA MBINU ZAO NI GANI ?
R7/Kwanza mapepo ina aina tatu
-Mapepo za moto
-Mapepo za baridi
-Mapepo za uchafu
+Pepo za moto,ni roho za wa malaika wachafu,ao wabaya(waharibifu),zinazofungwa katika moto,ila ziko huru.zinatumika ao kutumikisha moto,ao joto ;kwa kuzuru watu.Zikiingia mtu,mtu yule anapatwa na joto ao homa kali,isiyopungua (38-39-40 degré).
Zinakausha damu ya mtu ;nakusababisha atiwe damu ya mtu mwengine,ili wapate namna ya kuiba roho yake.Pepo hizi,zinatumikisha njia za uzazi zaidi,na kusababisha tamaa yakupita kipimo ya uzinzi ao ngono.Zinawaingia watu,zaidi kupitia tendo la ndoa isiyokubaliwa mu mapenzi ya Mungu Mkubwa na kupenyeza ndani ya tumbo za wamama,watoto wa nefili(watu wasio kubali shauri,wenyi kiburi saana,wasiokuwa na huruma,wachoyo,wabishi na wenyi tamaa saaana ya pesa na uasherati,pia wauwaji).Watoto hawa,wanazaliwa hata ndani ya jamaa za watakatifu na kuleta mchanganyiko na magonvi chungu nzima katika jamii.Alama yao,ni watu wasio rizika,wala kushukuru,pia ni wenyi wivu,wachoyo na wenyi mihali(shali) saaana.Pepo za moto zatumika zaidi ma saa sita mchana,wakati jua ni kali,na saa sita usiku,wakati watu wengi wako katika tendo la ndoa.Hizi pepo,zinasababisha moyo ao roho ya mtu kugonga mbio mbio na zinaleta magonjwa ya kuambukiza,pia malali ya ndege ao kifafa.Pepo hizi
zinakuja mfano wa mwanaume(wanaume)jitu,jambazi,ao mtu mrefu saana.Wanapenda sana moshi ao tumbako.Pepo hawa,ni wakubwa wa vita na michezo(guerriers et artistes).wanaleta akili na ufumbuzi (invantions).
+Pepo za baridi ni roho za wamalaika wachafu ao wabaya(waharibifu),zinazofungwa katika kibaridi,barafu,mawingu ao chini ya maji,ila ziko huru.Zinatumika ao kutumikisha kibaridi.yaani,zikikuingia,mtu anakuwa baridi na moyo inaanza piga polepole(hypotention)na kusababisha kusimamama kwa damu na moyo(crise cardiaque).Pepo hizi zazowea kutumika pembeni ao ndani ya maji.Zinawaingia watu zaidi wakiwa uchi.Zinajionyesha ao kujitapa kama vile mwanamke(wanawake)malkia(raine)ao mamy water(mamba mtu).Alama yao wakati wanaingia mtu,anaanza toa machozi bure,yaani bila maumivu.Zaidi zinatoa chozi,kupitia jicho moja tu,ao zinamfanya mtu kuwa na mecho mekundu sana.Ni hizi pepo zinazomfanya mtu kuvimba mwili wote,ao kujiona ananenepa saana bila watu kumuona vile kwa macho.Pepo hizi,zinaogopa moto na rangi nyekundu,pia uchi.Pepo hizi,zinakataa mtu kula nyama ao samaki isio na maganda.Pepo hizi haziruhusu kiti yao kuoa wala kuolewa,kwa sababu wao wenyewe wanageuka bwana na
bibi wa usiku(yaani bibi ao bwana asiye onekana na watu wote).Wakati wa mvua,wanasababisha maradi,miporomoko na pepo kali na kuzamisha watu majini,na wengi wao(victimes)wanapelekwa wazima kutumika azia(zimu ya chini ya maji).Wanawasaidia kuzaa watoto watakao tumwa,kujipenyeza mu dunia ili wawe wengi zaidi ya watu wa duniani.Pepo za baridi wanapenda chakula,zaidi matunda saana na harufu ya manukato(malasi) ao ubani, yaweza kuwaita .Tabia yao ni kusuka nywele na kuficha siri zao katika nywele,pia mapambo mbalimbali.Zinasababisha kutokuzaa ao kutokupata nguvu za kiume.Zinatoa ma mimba na kuwauwa watoto.Pepo hizi za kibaridi zinajua kuimba saana,kucheza na kupiga muziki(chantres et danseurs).
+Pepo za uchafu ni roho za malaika wachafu ao wabaya(waharibifu)zinazofungwa katika uchafu,jalala,choo,tingitingi pia ndani ya tumbo(estomac)Hizi pepo zinaleta umaskini kwa watu,ili watafute njia za uharibifu,kwakufanikiwa ku dunia.Ukipita karibu mahali zinakuwa,ao kukutanana nazo ;alama ni kusikia harufu mbaya sana ao kusisimuka nywele,ao kusikia chefuchefu.Zinaishi chini ya udongo na kufunga mali yote ya dunia huko.Ukitaka kufanikiwa,wanakuomba mtu(damu ya mtu).Zinatuma watu kufungua makaburi na kuzihaki watu waliokufa.kukatakata vipande miili ya watu waliokufa,kwa kutumikisha viungo vyao,ao roho(esprit)yao.Pepo hizi,zinawafundisha watu kufuga watu wengine(vichwanda) na kuwatesa kiisha kufa.Walozi(magie noire)wanatumika nao sana.Alama yao ni pepo kama kimvuli cheusi ao pepo inayovaa nguo nyeusi.Pepo hizi zinatumikisha zaidi umbwa,nguruwe na pusi,ata vyura popo na nyoka.Zinaletea watu ndoto za uongo ao za kuchonganisha,pia uonaji,kujazwa,utawa,miujiza
ya uongo,utakatifu wa uongo ao unafiki.Zinasimamia maneno ya sheria,mahakama(droit-justice)yaani uchonganishi katika dunia.
Q8/KUMTAMBUA MTU MWENYI PEPO NI JE SASA ?
R8/Ni kwepesi kwa kumtambua mtu mwenyi pepo
-Anaangalia kwanza vibaya(macho makali)ao kuepuka macho yake isikutane na macho ya wengine.
-Makope ya macho yake inapupapupa ao anaangalia saana bila kope kupupa(longue fixation des yeux).
-Hapati tamaa za mke ao mume
-Anakuwa na tamaa ya uzinifu kama ya umbwa
-Hapendi maombi ao kuimbia mungu mkubwa
-Anasemasema kila mara pesa-pesa-pesa.
-Anataka kujua bei ya kila kitu na habari za kila mtu.
-anabagua chakula na hapendi kula na watu wengine.
-Hapendi kunawa,wala ananawa kila mara.
-Anaweka makucha,ndevu ao nywele ndefu mno.
-Anasikia hamu ya kuua(kumwanga damu)ao kula nyama,zaidi ya mtoto.
-Hapendi kuona wazazi wake,ao hapendi hata kusikia habari zao.
-Anapenda watu wa inje ya nyumba yake,kuliko wa munyumba yake(wainje ya jamaa takatifu,kuliko wa ndani ya jamaa takatifu).
-Ana wakawaka roho kila mara kama mtu aliyekula maharagwe na viazi vya kishenzi (bijumba),(kihungurira),kichomi cha koo,wengine wanasema magonjwa ya kifuko cha tumbo(estomac ao gastrite).
-Anakojoa kitandani akiwa ana umri wa zaidi ya myaka 15.
-Anatamani mwanaume mwenzake ao mwanamke mwenzake (besoin sexuel homosexual).
-Anazini na nyama ao wanyama.
-Anabaka ao kuzini na watoto wa umri wa mwaka1 mpaka saba,wanaume ao wanawake.
-Anatamani wazee wazee,ao akiwa mzee anatamani wabinti wa myaka 13 hadi 18.
-hashibi hata akila mara kadha.
-Hasikii njaa kama wengine.
-Anakawia katika choo ao bafuni (douche)
-Ajiona sana kwenyi kiyoo,ao akimbia kiyoo
-Hapati usingizi usiku.
-Analala saana bila kujitambua
-Mlevi saana.
-Mvutaji wa sigara saana.
-Apenda kugombana gombana na mwepesi kuumizana.
-Apenda kuuma wenzake kwa meno.
-Apenda kucheza na watoto kwaku waumauma kwa meno.
-Azowea kucheka vilema ao maskini.
-Apenda ramuli na machanjo.
-Apenda kutosha mimba.
-Anakataa kama alibebesha mimba.
-Asingizia mtu mwengine mimba yake.
-Anaye zowea kupiga mke wake.
-Anaye zowea kurudishia mme wake kofi ao pigo.
-Anayezila wala kumwanga chakula ajili ya hasira.
-anaye tangatanga kiimani na kubadilisha makanisa.
-Anaye ikalia michezo (karata, ludo, soro, mpira na kazalika…..na kusahau kazi zake za kulisha mwili.
-Anaye sikia haya ya kutumikiana ili alipwe.
-Anaye pata matokeo kuzidia siku tatu ya kawaida,ao kupata chini ya siku tatu.
-Anaye kosa kupata matokeo kama wengine ao anaye umizwa saaana wakati wa matokeo.
-Anaye kutanana katika tendo la ndoa, akiwa katika matokeo bila sababu.
-Anaye umiza, kupiga mwili ya kiume ao ya kike (utupu).
-Anaye chukia wakwe wake bila sababu
-Anaye chukia wasengezana wake bila sababu.
-Anaye chukia mtoto wa mume ao mke wake.
-Anayependa kula chakula bado ingali jikoni.
-Anaye kataa kula nyama, chumvi, sukari maziwa bila sababu.
-Anayekosa maziwa ku matiti yake wakati wa kuzaa.
-Anaye jikuta amechanjwa usiku na mtu asiyejua wala kuumizwa.
-Anaye zowea kuita jina la mtu mwengine usiku,kwa sauti ya nguvu saana.
-Asiyependa kulala ndani ya mwangaza bila sababu.
-Anaye temea mate mke, mume, mtoto, mtumishi wake bila sababu.
-Anaye furahia kuzini na mke ao mume nafasi ya choo kubwa.
-Anaye zowea kulamba uchi ya mwanaume ao ya mwanamke bila sababu.
-Anayeficha pesa,hata kama anataka kufa kwa njaa.
-Anaye tumika bila kusikia mchoko.
-Anaye tajirika upesi bila kutoa jasho sana.
-Anaye tumika sana bila kupata faida.
-Anaye furahia kuchungulia watu wenyikuwa uchi ao kuona vitabu ao filamu za aina za uchiuchi.
-Anayekula wala kunywa matokeo ya mwanamke.
-Anayekula nyama ao kiungo cha mtu bila sababu.
-Anaye chukizwa kuzaa watoto wa aina moja tu, wawe wanaume ao wanawake tu.
-Anaye chukizwa na kuona kuzaa ao kuishi na aina ya watu kama kasa,ao mwenyi ulema(deformation Fulani).
-Anaye badirisha wanaume ao wanawake saana bila sababu.
-Anayetoa matusi makubwa azarani bila aibu.
-Anayependa kila mara kwenda kwa mganga bila sababu.
-Anaye jiingiza vidole ao vitu vingine katika uzazi wake wa kike.
-Anaye jirizisha na kutoa maji ya uzima wake bila mwanamke.
-Anayekula mbiombio sana wala polepole sana.
-Anaye tetemeka sana akiona chakula.
-Anaye pata ruharo, akisikia ka habari ka wasiwasi.
-Asiyekuwa na woga wakutembea usiku peke yake safari murefu mahali hakuna watu.
-Anayezini na maiti,ao kuvala sanda ao nguo yake aliyozikwa nayo kwa makusudi mazima.
-Anayekata dawa (kuchuma) akiwa uchi,bila ruhusa ya mungu mkubwa.
-Anayeenda safari bila kukumbuka kurudi kwake upesi
-Anaye jikaza kucheka, kucheza wala kutania.
-Anayependa kuchonganisha ili aone namna watu wanapigana.
-Anaye jisikia kukimbia na aende mbali ajili ya shida inayo mpata.
-Anaye jisikia ugumu ugumu wa kuomba msamaha wala wa kusamehe.
-Anayependa kuvaa nguo za rangi moja.
-Anaye tafuta maisha mu mambo ya ki miujiza-miujiza na kuwa tayari kumwanga damu ikibidi.
-Anaye jitapa eti ataonyesha mtu mwenzake kama yeye ni nani.
Wote hawa wana mapepo,ila alama ni nyingi.
ITOCHA6
Q1/NAMNA GANI PEPO INATOSHWA AO KUFUKUZWA NDANI YA MTU?
R1/Mtu mwenyewe kwanza Yule mwenyi pepo anayo uwezo wakumufukuza pepo ao mapepo iliyo ndani mwake;akiwa bado na ufahamu.
R2/Mtu anayekuwa na pepo,ajue jina ya ile pepo,ila mara nyingi pepo zina danganya jina zao ao mahali zilipotoka,ao nani aliye watuma,kwahiyo inapashwa kutisha hiyo pepo kwa nguvu za roho mtakatifu.
R3/Unaweza kumtisha kwa njia ya moto(mushumaa,kiinga cha moto,ao jua ya saa sita,ao pia jua ya asubui sana yenyi kuanza kutokea.
R4/Kwakutishia pepo kwa njia hizo,yapashwa tu kutaja jina jipya tu mara saba kwa sauti ao ndani ya roho(zamiri) na kumumwangia ile maji ao kumuonyesha ile moto,ao ile jua.
R5/Kuna wakati pepo inazarau silaha zote hizo,ila inaogopa saana picha ya baba mtukufu,ao ya moja wa mtoto wake atakaye pewa mamlaka hiyo,pia zinaogopa utupu wa mtakatifu,zaidi muke mdogo,wa tangu myaka zero mpaka myaka 12.Na anayepashwa kuwa mshahidi wa maombi haya,sherti awe mtumishi wa hema takatifu,ao kiongozi wa jamaa takatifu,nuru kwa mataifa.
Q2/Ni vema kutoa mapepo nyumbani ao inje ya jamaa takatifu?
R1/Sio vema mchaguliwa peke yake kujipa kazi ao garama yakujifanyizia chumba cha maombi kwake,kisicho ongozwa na utaratibu wa jamaa takatifu,kwa sababu nguvu za mapepo zinaweza mukumba mchaguliwa ao muombaji na kuanza kumufunza ao kumufunulia mambo mazuri ao ya kweli,naye akadanganywa na kupendelea ushirikiano na zile mapepo za mgonjwa.Kwahiyo,zinaweza anza kumuletea hata maonyo ya uongo ya kumutenga na jamaa takatifu ao na baba mtukufu.Kwanza ataanza kujizani kama amekuwa na uwezo sawa ao kuliko ya baba mtukufu,zaidi ajili ya tama ya chakula,ao mali(faini-sadaka)anayotoza,kiisha anapotea na kupoteza wengine.Ikikufikia unafanya ishara ya aina yoyote inje ya jamaa takatifu,sherti uende kushuhudia hekaluni,na umkabizi mgonjwa ao mfuasi mpya wa taifa la jamaa takatifu,waendelee kumshurulikia.
Q3/ALAFU KAMA MAPEPO,MAJINI,MIKURI AO MABABU WA UKOO WETU WASIO WACHAGULIWA WANATUFUNULIA MAMBO,TUIKUBALI AO TUSIIKUBALI?
R1/Nuru na gizi haviwezi kaa fasi moja.Kama ujumbe wowote wa kiroho unatoka mahali popote ulimwenguni,sherti tuusikie,ila tuuaminie na mashaka.Ni ujumbe toka tu ndani ya hema takatifu,inayo ongozwa na baba mtukufu tu,njo ya kukubaliwa mia kwa mia.Zingine ujumbe za inje ni ushuhuda tu.Hata kama inaletwa na mchaguliwa anaye aminika sana.Anaye zowea kwenda kusikiliza ma ujumbe za machumba ao waonaji,ao wauguzi;mwisho wake ni kuchanganikiwa.
R2/Kutetemeka,kurukaruka,kuanguka anguka,kubadirisha sauti,kutonyoa macho,kusema lugha isiyo eleweka,ao lugha asiyojuwa mwenyi kujazwa,kuvumbua siri zilizofichwa,kukiri jina jipya la ahmirado ao la yesu,zisiwadanganye kama kuwa alama ya roho mtakatifu.
R3/Yaweza kumfikia muombaji,kwa kutoa pepo ndani ya mtu,anamumalizia maisha bila kujuwa.kwa sababu kuna wakati pepo zimekwisha kumumaliza,kwa kula damu na kunywa nyama yake kindanindani,pia kimvuli chake(roho-esprit yake)tayari imekufa,naye ni sanamu tu.Basi,mukitoa ile pepo ni vizuri,kwasababu kiisha kufa roho yake(esprit)itaokolewa na kupelekwa mahali pazuri pa pumziko,akiwa na malaika mikhael.
R4/Kuna pepo zinazo wezwa achwa ndani ya mtu hata kama ni mchaguliwa mkamilifu,sababu zinangojelea ushuhuda mkubwa.
R5/Mapepo zinaogopa zaidi mahali kuko furaha na upendo.Mahali mafundisho inasomeka,pia zaidi nyimbo za Mungu mkubwa zinaimbika.Angalisho,usikule chakula cha mtu unaye nungunikia,wala usimpigie ao kumpangia chakula mtu unaye chukia.Zaidi,usifanye tendo la ndoa na mtu usiye sikilizana naye,kwani utakuwa umejiingiza ao kumuingiza,mapepo,mikoshi ao magonjwa.
Q4/KUZIKWA KUBAYA,KUNAWEZA ZURU MTU KIISHA KUFA?
R1/Ndio.yapashwa mtakatifu,azikwe na watakatifu,tena mahali patakatifu(betheli).Hata kama amefia mbali sana na baraka-fizi-betheli-mwambangu.Kitu moja ya mwili yake,iletwe kuzikwa betheli,kama vile nywele,jino, makucha ,mfupa,nyama,shati,chupi,mahali ali sahini(sa signature ou empreinte digital ou autres)picha yake hata kama iko na watu wengine,sauti yake(cassette sonore ou video).Na yote hii ikikosekana,jina lake tu linatosha.
R2/Wachawi na warozi wabaya,wanatafuta na kupata saana viini vya mwili wa mchaguliwa kiisha kufa,ili wapate kwa njia ya viini vile,kufanya irizi(bizimba)vya kuweza zuru wachaguliwa wazima,pia wapate ujuzi na faida nyingi huko kuzimuni.Ndio kwa maana musishangae kuwaona watu wanauluza uliza wapi mtu Fulani amezikwa,kwa sababu kweli wamemkosa,baada ya kutumwa kwa njia zote roho ao viini(vizimba)vya mchaguliwa.Na wanawaamuru wasipoleta kitu kimoja kati ya vitu hivyo,azabu yao ni kuuliwa.
R3/Wakati warozi na wachawi wabaya wanakuja kumjaribu mchaguliwa,ao kuwawangia(kukinda)karibu ya mchaguliwa;kwanza wanapigwa kwa fimbo ya chuma,ao ya moto wasio iona,ao wanaona nyumba yake kuwa bahari ao mtoni mkubwa,wala ikiwaka moto.Wengine wanajikuta chini yote,kumeota miiba mirefumirefu,aina ya ile baba mtukufu alishuka nayo toka mbinguni,ao ile ya bwana wetu yesu kristu wa kweli kumsalaba.Tena wanashindwa kumyanyua mchaguliwa,kumtosha inje.kwani anakuwa na kilo 10.000.
R4/Kwakuepukana na mitego ya warozi na wachawi waharibifu,mchaguliwa ajikaze zaidi nayale anayo kula ao kunywa,pia Yale anayechanga naye damu.Ni hapo kiingilio na kitokeo cha mema na ubaya wote.Ulozi ni mikopo ya chakula(mlo).Ukipenda na kuabudu mlo saana,sharti ulozi utakutawala.Na hakuna chakula bora kuliko ma mboga-mboga,pia matunda-matunda,zaidi asali pia maziwa,ni dawa kwa magonjwa yote.Ule nyama ya kondoo mara moja,ao ya njiwa,utakuwa na urahisi wa nguvu za kuona na kusikia kiroho kama umejitakasa.Sela.
Q5/KUNA WAROZI AO WACHAWI WAZURI?
R1/ndio mchawi ao murozi anaye kamilika ndani ya mafundisha ya kitabu chenyi mihuri saba,akiwa ametubu,(ao kujifunua)anaweza tenda mambo mazuri saana kuliko hata mchaguliwa wa kawaida.
R2/Huyu mchawi wala murozi,aliye amini Mungu Mkubwa Ahmirado kwakweli;kwanza anaona mbali,anasikia vya mbali,pia anaweza okoa mchaguliwa mwengine ndani ya shimo.Anaweza tumiwa katika nyumba ya Mungu,kuwa mlinzi ao mshahidi.Ushuhuda wake unajenga imani nakuleta wokovu kwa watu wengi.
R3/kwakuweza mtu(mchaguliwa)muharibifu apitia njia gani kabisa?Huyu mharibifu,anachagua mtu ao watu walio karibu saana kimwili ya baba mtukufu,anawavuruga akili,zamiri na roho,nao wanamuvuruga baba mtukufu,na kuvuruga wachaguliwa wote.Anawatia kiburi ili wajione kama wao ni wa lazima kuliko wengine,na kuwatuma wafanye zambi ao kosa kwa makusudi,kama mungu wa jamaa takatifu atawavumbua.Naye muumba anakaa kimya nao wanaendelea katika uzalimu na kupotea kabisa milele.
R4/Tena muharibifu anaingilia mtu kupitia kitu mtu Yule anapenda zaidi.Inafaa zaidi kumtangulia muharibifu,wakati unaanzaona kosa mara kwanza kwa mchaguliwa,ndugu ao rafiki yako.Ukingoja kosa ao zambi kuendelea ndani mwako itakomaa na utashindwa kuimaliza mpaka itakuletea mauti.
R5/Musiwaache watoto wenu kufuata mafundisho,ao kufanya mazowezi ya nyimbo.mwana umleavyo ndivyo akuavyo.Mfanye masomo zenu kwa watoto wenu,hospitali zenu kwa wagonjwa wenu,soko zenu kwa viashara vyenu,na serkali yenu kwa dunia yenu.Bila hivyo mutabaki watumwa milele
Baba Mtukufu-Mwangaza wa dunia.
Q1.SADAKA YA KILEMA NA YA KIPANDE NI GANI?
R1.Sadaka ya kilema ni ile ya kutolewa baada ya masito mengi na manunguniko.Tena ni ile sadaka inayo tolewa juu ni masalio.Mfano ;Kula nyama na kumtolea Mungu Mkubwa mifupa.je !Muumba amegeuka umbwa,ili baada ya kukuwindia yeye ale mifupa na wewe ule minyofu ?
Sadaka kipande ni mapatano ao ahadi uliyo muahidia Mungu Mkubwa yakama utatimiza,baadae unageuka wala unatimiza leo na kesho na kuanza kuregea.Wewe uliyekuwa unafanya zamu ya Mungu Mkubwa ;unaanza kushindwa kuamka,kupiga magoti usiku kwa kuomba.Sadaka ya kilema ni shukrani ya punda,ni imani ya macho.Ni baada ya kumuimbia Mungu Mkubwa mchana ;usiku uko ndani ya nyumba ya walozi.Unashuhudia sasa hivi makubwa ya Mungu Mkubwa,na huko pembeni unakufuru ajili tu ya kazi ao mapenzi mengine ya Mungu Mkubwa.Ni heri kutokutoa sadaka,kuliko kuitoa vibaya.
Q2.MARIA MAGDALENA ALITOA SADAKA GANI ?
R2.Hakuna umbalimbali kati ya sadaka ya maria magdalena na ile ya Abraham . Abraham alimtoa mwanaye wa pekee isaka.Naye maria magdala hakuwa na mtoto,ila alikuwa na chombo chake,alicho tumia mbele kwa njia ya uharibifu kabla hajakutana na Yesu Kristu wa Kweli.Chombo hicho kilikuwa ni ;UJANA WAKE,UREMBO WAKE,UTUPU WAKE,UJUZI WAKE,na JUHUDI pia ULEZI wake.
Q3.Sasa yeye Abraham,kwa kupata neema ya kuzaa isaka kwa uzee wake,alitoa nini ?
R3.Abraham mbele amtoe isaka,alitoa vitu vingi tu.Mbele ya yeye kuitwa rafiki wa Mungu Mkubwa,aliitwa pia baba wa imani,kwanza kwa njia ya matoleo.Bila matoleo hakuna urafiki.Na bila matoleo hakuna imani.Abraham alichunia wamalaika watatu mfano wa Mungu Mkubwa Kondoo dike,mfano wa mke wake sarai.Ndipo mibaraka ya uzazi ilipo tokea.Sela.Naye sarai,akatolea Abraham kijakazi Hagari,ili mibaraka aliyopewa itimilike kwake.Muwe mukijuwa.
Q4.SADAKA YA UJANA,YA UREMBO,YA UTUPU,YA UJUZI,YA JUHUDI,YA ULEZI NI GANI ?
R4
-Kijana ni mtu mwenyi nguvu,mjanja na mwerevu ;pia mwepesi zaidi.Sherti atumikishe moto iliyo ndani mwake sasa,kwa kuendelesha kazi ya Mungu Mkubwa kwa nyimbo,maombi,mahubiri,kazi za jasho na za akili,pia vita vitakatifu,ajili ya utawalo wa Mungu Mkubwa.Ujana wako mchaguliwa,isiwe ajili ya sifa mbaya,uasherati,ulevi,magomvi,wizi mbaya,na uuaji.Kutanisha na kupatanisha watu,bado ungali na wakati ndefu.Wengine wanaanza hesabu ma dakika tu ajili ya umri wao wa maisha.
-Urembo ni kitu kizuri cha kuvutia.Urembo wa mtoto wa Mungu Mkubwa,sherti uvutie watu kwa tabia nzuri.Sukari ao chumvi iwe ndani ya kinywa chako na ndani ya macho yako.Kusiwe kiburi,bali ubani mtakatifu.Sauti nyororo na cheko ya heshima pia mashauri ya utulivu ni urembo mtakatifu.Mtu mrembo na mwenyi hekima humpyana Mfalme ao Malkia katika kiti chake,bado huyo angali hai.
-Utupu ni utukufu.Baba mtukufu,maana yake Baba wa Utupu,yaani utukufu mtupu.Mungu Mkubwa hajionyeshe wazi kwa watu,kwa sababu yeye ni mtupu,wala havai nguo hata moja.Alama na mapito yake kwa kumtambua ni mwingi wa mwangaza na kweli.Ndio kwa maana anaitwa kweli,kweli,kweli « VUA MAVAZI YAKO YOTE,HAPA NI PAHALI PATAKATIFU ».Maana yake,usisubutu kusema uongo mbele zake,kwani jicho lake toka mbinguni limewashukia ;kukaa pamoja nanyi milele.Na hili jicho ni baba mtukufu.Utoshe haya yako,na kujizuia kwa yote iliyo mapenzi ya Mungu Mkubwa.Sela.Utupu wako ni wa Mungu Mkubwa ;na utupu wa Mungu Mkubwa ni wako.MIMI NDANI MWENU,NA NYINYI NDANI MWANGU,ALISEMA.ANASEMA NA ATASEMA BWANA.
-Ujuzi ni vyoote tena vyoote mchaguliwa anajuwa.viwe vibaya ao vizuri,vina mafaa na faida yake,pia wakati wake wa kutumikia Mungu Mkubwa.Sema unachojuwa ;toa unachokuwa nacho,kiwe kidogo ao kikubwa.Kwani Mungu Mkubwa peke yake atatenga magugu na ngano.
Ni nani aliyejua yakama ujuzi mbaya,aliye jifunza Musa kwa farao,itageuka ukombozi wa taifa la Israel ?Na nani alifahamu yakama ;umalaya na ujuzi wa kimapepo mbaya wa maria magdala ;baada ya kutubu,utageuka nguvu na siri ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo wa kweli Kaburini ?.
Asiyetoa ujuzi ;huyo ndiye YUDA ESKARIOT.Kuna maria mama wa Yesu,huyu ni mama wa mchana.na maria magdalena,huyu ni mama wa usiku.Na wote wanafaa kwa kazi bora,muwe mukijua.Yaani maria mama wa yesu ni mama wa maombi,yaani wa kitanda.na Maria magdala ni mama wa machozi,yaani wa Kaburi.
-Ulezi ni namna ya kulisha,kuosha,kuvika,kutunza,kubembeleza,kupakaa,kukaribisha,kushahuria,kusaidia na kuvumilia.Bila hii malezi,hakuwezi kuwa masikilizano hata kati ya wamalaika.Kosa moja shetani mharibifu mbinguni alifanya ;ni kukosa ulezi kwa Muumba wake na kwa viumbe vyake pia.Lea vizuri na utakuza vizuri.Sela.
Q5/UTAMTAMBUA NAMNA GANI MTU ANAYEKUWA NA PEPO?
R5/Kwanza kila mtu ana pepo moja.yaani,ile roho yake,inayokaa ndani mwake(esprit yake).Ila,akiwa na roho(esprit)ingine ndani mwake,isiyokuwa ao isiyotoka kwa mungu Mkubwa,sasa anakuwa mwenyi mapepo.yaani mtu asiye jiongoza tena peke yake,ila na nguvu fulani ndani mwake.
Q6/Tutamtambua sasa mwenyi mapepo je ?
R6/Kwanza mtu anaye amini na kuogopa ogopa sana mapepo,huyo ana mapepo inayo jificha.Kwa sababu pepo iliyo ndani mwake,inaogopa kukutanana na pepo ingine,ili wasi mgundue,labda watamuhamisha ao kumfukuza.
Q7/NJIA ZA MAPEPO, MAKAO NA MBINU ZAO NI GANI ?
R7/Kwanza mapepo ina aina tatu
-Mapepo za moto
-Mapepo za baridi
-Mapepo za uchafu
+Pepo za moto,ni roho za wa malaika wachafu,ao wabaya(waharibifu),zinazofungwa katika moto,ila ziko huru.zinatumika ao kutumikisha moto,ao joto ;kwa kuzuru watu.Zikiingia mtu,mtu yule anapatwa na joto ao homa kali,isiyopungua (38-39-40 degré).
Zinakausha damu ya mtu ;nakusababisha atiwe damu ya mtu mwengine,ili wapate namna ya kuiba roho yake.Pepo hizi,zinatumikisha njia za uzazi zaidi,na kusababisha tamaa yakupita kipimo ya uzinzi ao ngono.Zinawaingia watu,zaidi kupitia tendo la ndoa isiyokubaliwa mu mapenzi ya Mungu Mkubwa na kupenyeza ndani ya tumbo za wamama,watoto wa nefili(watu wasio kubali shauri,wenyi kiburi saana,wasiokuwa na huruma,wachoyo,wabishi na wenyi tamaa saaana ya pesa na uasherati,pia wauwaji).Watoto hawa,wanazaliwa hata ndani ya jamaa za watakatifu na kuleta mchanganyiko na magonvi chungu nzima katika jamii.Alama yao,ni watu wasio rizika,wala kushukuru,pia ni wenyi wivu,wachoyo na wenyi mihali(shali) saaana.Pepo za moto zatumika zaidi ma saa sita mchana,wakati jua ni kali,na saa sita usiku,wakati watu wengi wako katika tendo la ndoa.Hizi pepo,zinasababisha moyo ao roho ya mtu kugonga mbio mbio na zinaleta magonjwa ya kuambukiza,pia malali ya ndege ao kifafa.Pepo hizi
zinakuja mfano wa mwanaume(wanaume)jitu,jambazi,ao mtu mrefu saana.Wanapenda sana moshi ao tumbako.Pepo hawa,ni wakubwa wa vita na michezo(guerriers et artistes).wanaleta akili na ufumbuzi (invantions).
+Pepo za baridi ni roho za wamalaika wachafu ao wabaya(waharibifu),zinazofungwa katika kibaridi,barafu,mawingu ao chini ya maji,ila ziko huru.Zinatumika ao kutumikisha kibaridi.yaani,zikikuingia,mtu anakuwa baridi na moyo inaanza piga polepole(hypotention)na kusababisha kusimamama kwa damu na moyo(crise cardiaque).Pepo hizi zazowea kutumika pembeni ao ndani ya maji.Zinawaingia watu zaidi wakiwa uchi.Zinajionyesha ao kujitapa kama vile mwanamke(wanawake)malkia(raine)ao mamy water(mamba mtu).Alama yao wakati wanaingia mtu,anaanza toa machozi bure,yaani bila maumivu.Zaidi zinatoa chozi,kupitia jicho moja tu,ao zinamfanya mtu kuwa na mecho mekundu sana.Ni hizi pepo zinazomfanya mtu kuvimba mwili wote,ao kujiona ananenepa saana bila watu kumuona vile kwa macho.Pepo hizi,zinaogopa moto na rangi nyekundu,pia uchi.Pepo hizi,zinakataa mtu kula nyama ao samaki isio na maganda.Pepo hizi haziruhusu kiti yao kuoa wala kuolewa,kwa sababu wao wenyewe wanageuka bwana na
bibi wa usiku(yaani bibi ao bwana asiye onekana na watu wote).Wakati wa mvua,wanasababisha maradi,miporomoko na pepo kali na kuzamisha watu majini,na wengi wao(victimes)wanapelekwa wazima kutumika azia(zimu ya chini ya maji).Wanawasaidia kuzaa watoto watakao tumwa,kujipenyeza mu dunia ili wawe wengi zaidi ya watu wa duniani.Pepo za baridi wanapenda chakula,zaidi matunda saana na harufu ya manukato(malasi) ao ubani, yaweza kuwaita .Tabia yao ni kusuka nywele na kuficha siri zao katika nywele,pia mapambo mbalimbali.Zinasababisha kutokuzaa ao kutokupata nguvu za kiume.Zinatoa ma mimba na kuwauwa watoto.Pepo hizi za kibaridi zinajua kuimba saana,kucheza na kupiga muziki(chantres et danseurs).
+Pepo za uchafu ni roho za malaika wachafu ao wabaya(waharibifu)zinazofungwa katika uchafu,jalala,choo,tingitingi pia ndani ya tumbo(estomac)Hizi pepo zinaleta umaskini kwa watu,ili watafute njia za uharibifu,kwakufanikiwa ku dunia.Ukipita karibu mahali zinakuwa,ao kukutanana nazo ;alama ni kusikia harufu mbaya sana ao kusisimuka nywele,ao kusikia chefuchefu.Zinaishi chini ya udongo na kufunga mali yote ya dunia huko.Ukitaka kufanikiwa,wanakuomba mtu(damu ya mtu).Zinatuma watu kufungua makaburi na kuzihaki watu waliokufa.kukatakata vipande miili ya watu waliokufa,kwa kutumikisha viungo vyao,ao roho(esprit)yao.Pepo hizi,zinawafundisha watu kufuga watu wengine(vichwanda) na kuwatesa kiisha kufa.Walozi(magie noire)wanatumika nao sana.Alama yao ni pepo kama kimvuli cheusi ao pepo inayovaa nguo nyeusi.Pepo hizi zinatumikisha zaidi umbwa,nguruwe na pusi,ata vyura popo na nyoka.Zinaletea watu ndoto za uongo ao za kuchonganisha,pia uonaji,kujazwa,utawa,miujiza
ya uongo,utakatifu wa uongo ao unafiki.Zinasimamia maneno ya sheria,mahakama(droit-justice)yaani uchonganishi katika dunia.
Q8/KUMTAMBUA MTU MWENYI PEPO NI JE SASA ?
R8/Ni kwepesi kwa kumtambua mtu mwenyi pepo
-Anaangalia kwanza vibaya(macho makali)ao kuepuka macho yake isikutane na macho ya wengine.
-Makope ya macho yake inapupapupa ao anaangalia saana bila kope kupupa(longue fixation des yeux).
-Hapati tamaa za mke ao mume
-Anakuwa na tamaa ya uzinifu kama ya umbwa
-Hapendi maombi ao kuimbia mungu mkubwa
-Anasemasema kila mara pesa-pesa-pesa.
-Anataka kujua bei ya kila kitu na habari za kila mtu.
-anabagua chakula na hapendi kula na watu wengine.
-Hapendi kunawa,wala ananawa kila mara.
-Anaweka makucha,ndevu ao nywele ndefu mno.
-Anasikia hamu ya kuua(kumwanga damu)ao kula nyama,zaidi ya mtoto.
-Hapendi kuona wazazi wake,ao hapendi hata kusikia habari zao.
-Anapenda watu wa inje ya nyumba yake,kuliko wa munyumba yake(wainje ya jamaa takatifu,kuliko wa ndani ya jamaa takatifu).
-Ana wakawaka roho kila mara kama mtu aliyekula maharagwe na viazi vya kishenzi (bijumba),(kihungurira),kichomi cha koo,wengine wanasema magonjwa ya kifuko cha tumbo(estomac ao gastrite).
-Anakojoa kitandani akiwa ana umri wa zaidi ya myaka 15.
-Anatamani mwanaume mwenzake ao mwanamke mwenzake (besoin sexuel homosexual).
-Anazini na nyama ao wanyama.
-Anabaka ao kuzini na watoto wa umri wa mwaka1 mpaka saba,wanaume ao wanawake.
-Anatamani wazee wazee,ao akiwa mzee anatamani wabinti wa myaka 13 hadi 18.
-hashibi hata akila mara kadha.
-Hasikii njaa kama wengine.
-Anakawia katika choo ao bafuni (douche)
-Ajiona sana kwenyi kiyoo,ao akimbia kiyoo
-Hapati usingizi usiku.
-Analala saana bila kujitambua
-Mlevi saana.
-Mvutaji wa sigara saana.
-Apenda kugombana gombana na mwepesi kuumizana.
-Apenda kuuma wenzake kwa meno.
-Apenda kucheza na watoto kwaku waumauma kwa meno.
-Azowea kucheka vilema ao maskini.
-Apenda ramuli na machanjo.
-Apenda kutosha mimba.
-Anakataa kama alibebesha mimba.
-Asingizia mtu mwengine mimba yake.
-Anaye zowea kupiga mke wake.
-Anaye zowea kurudishia mme wake kofi ao pigo.
-Anayezila wala kumwanga chakula ajili ya hasira.
-anaye tangatanga kiimani na kubadilisha makanisa.
-Anaye ikalia michezo (karata, ludo, soro, mpira na kazalika…..na kusahau kazi zake za kulisha mwili.
-Anaye sikia haya ya kutumikiana ili alipwe.
-Anaye pata matokeo kuzidia siku tatu ya kawaida,ao kupata chini ya siku tatu.
-Anaye kosa kupata matokeo kama wengine ao anaye umizwa saaana wakati wa matokeo.
-Anaye kutanana katika tendo la ndoa, akiwa katika matokeo bila sababu.
-Anaye umiza, kupiga mwili ya kiume ao ya kike (utupu).
-Anaye chukia wakwe wake bila sababu
-Anaye chukia wasengezana wake bila sababu.
-Anaye chukia mtoto wa mume ao mke wake.
-Anayependa kula chakula bado ingali jikoni.
-Anaye kataa kula nyama, chumvi, sukari maziwa bila sababu.
-Anayekosa maziwa ku matiti yake wakati wa kuzaa.
-Anaye jikuta amechanjwa usiku na mtu asiyejua wala kuumizwa.
-Anaye zowea kuita jina la mtu mwengine usiku,kwa sauti ya nguvu saana.
-Asiyependa kulala ndani ya mwangaza bila sababu.
-Anaye temea mate mke, mume, mtoto, mtumishi wake bila sababu.
-Anaye furahia kuzini na mke ao mume nafasi ya choo kubwa.
-Anaye zowea kulamba uchi ya mwanaume ao ya mwanamke bila sababu.
-Anayeficha pesa,hata kama anataka kufa kwa njaa.
-Anaye tumika bila kusikia mchoko.
-Anaye tajirika upesi bila kutoa jasho sana.
-Anaye tumika sana bila kupata faida.
-Anaye furahia kuchungulia watu wenyikuwa uchi ao kuona vitabu ao filamu za aina za uchiuchi.
-Anayekula wala kunywa matokeo ya mwanamke.
-Anayekula nyama ao kiungo cha mtu bila sababu.
-Anaye chukizwa kuzaa watoto wa aina moja tu, wawe wanaume ao wanawake tu.
-Anaye chukizwa na kuona kuzaa ao kuishi na aina ya watu kama kasa,ao mwenyi ulema(deformation Fulani).
-Anaye badirisha wanaume ao wanawake saana bila sababu.
-Anayetoa matusi makubwa azarani bila aibu.
-Anayependa kila mara kwenda kwa mganga bila sababu.
-Anaye jiingiza vidole ao vitu vingine katika uzazi wake wa kike.
-Anaye jirizisha na kutoa maji ya uzima wake bila mwanamke.
-Anayekula mbiombio sana wala polepole sana.
-Anaye tetemeka sana akiona chakula.
-Anaye pata ruharo, akisikia ka habari ka wasiwasi.
-Asiyekuwa na woga wakutembea usiku peke yake safari murefu mahali hakuna watu.
-Anayezini na maiti,ao kuvala sanda ao nguo yake aliyozikwa nayo kwa makusudi mazima.
-Anayekata dawa (kuchuma) akiwa uchi,bila ruhusa ya mungu mkubwa.
-Anayeenda safari bila kukumbuka kurudi kwake upesi
-Anaye jikaza kucheka, kucheza wala kutania.
-Anayependa kuchonganisha ili aone namna watu wanapigana.
-Anaye jisikia kukimbia na aende mbali ajili ya shida inayo mpata.
-Anaye jisikia ugumu ugumu wa kuomba msamaha wala wa kusamehe.
-Anayependa kuvaa nguo za rangi moja.
-Anaye tafuta maisha mu mambo ya ki miujiza-miujiza na kuwa tayari kumwanga damu ikibidi.
-Anaye jitapa eti ataonyesha mtu mwenzake kama yeye ni nani.
Wote hawa wana mapepo,ila alama ni nyingi.
ITOCHA6
Q1/NAMNA GANI PEPO INATOSHWA AO KUFUKUZWA NDANI YA MTU?
R1/Mtu mwenyewe kwanza Yule mwenyi pepo anayo uwezo wakumufukuza pepo ao mapepo iliyo ndani mwake;akiwa bado na ufahamu.
R2/Mtu anayekuwa na pepo,ajue jina ya ile pepo,ila mara nyingi pepo zina danganya jina zao ao mahali zilipotoka,ao nani aliye watuma,kwahiyo inapashwa kutisha hiyo pepo kwa nguvu za roho mtakatifu.
R3/Unaweza kumtisha kwa njia ya moto(mushumaa,kiinga cha moto,ao jua ya saa sita,ao pia jua ya asubui sana yenyi kuanza kutokea.
R4/Kwakutishia pepo kwa njia hizo,yapashwa tu kutaja jina jipya tu mara saba kwa sauti ao ndani ya roho(zamiri) na kumumwangia ile maji ao kumuonyesha ile moto,ao ile jua.
R5/Kuna wakati pepo inazarau silaha zote hizo,ila inaogopa saana picha ya baba mtukufu,ao ya moja wa mtoto wake atakaye pewa mamlaka hiyo,pia zinaogopa utupu wa mtakatifu,zaidi muke mdogo,wa tangu myaka zero mpaka myaka 12.Na anayepashwa kuwa mshahidi wa maombi haya,sherti awe mtumishi wa hema takatifu,ao kiongozi wa jamaa takatifu,nuru kwa mataifa.
Q2/Ni vema kutoa mapepo nyumbani ao inje ya jamaa takatifu?
R1/Sio vema mchaguliwa peke yake kujipa kazi ao garama yakujifanyizia chumba cha maombi kwake,kisicho ongozwa na utaratibu wa jamaa takatifu,kwa sababu nguvu za mapepo zinaweza mukumba mchaguliwa ao muombaji na kuanza kumufunza ao kumufunulia mambo mazuri ao ya kweli,naye akadanganywa na kupendelea ushirikiano na zile mapepo za mgonjwa.Kwahiyo,zinaweza anza kumuletea hata maonyo ya uongo ya kumutenga na jamaa takatifu ao na baba mtukufu.Kwanza ataanza kujizani kama amekuwa na uwezo sawa ao kuliko ya baba mtukufu,zaidi ajili ya tama ya chakula,ao mali(faini-sadaka)anayotoza,kiisha anapotea na kupoteza wengine.Ikikufikia unafanya ishara ya aina yoyote inje ya jamaa takatifu,sherti uende kushuhudia hekaluni,na umkabizi mgonjwa ao mfuasi mpya wa taifa la jamaa takatifu,waendelee kumshurulikia.
Q3/ALAFU KAMA MAPEPO,MAJINI,MIKURI AO MABABU WA UKOO WETU WASIO WACHAGULIWA WANATUFUNULIA MAMBO,TUIKUBALI AO TUSIIKUBALI?
R1/Nuru na gizi haviwezi kaa fasi moja.Kama ujumbe wowote wa kiroho unatoka mahali popote ulimwenguni,sherti tuusikie,ila tuuaminie na mashaka.Ni ujumbe toka tu ndani ya hema takatifu,inayo ongozwa na baba mtukufu tu,njo ya kukubaliwa mia kwa mia.Zingine ujumbe za inje ni ushuhuda tu.Hata kama inaletwa na mchaguliwa anaye aminika sana.Anaye zowea kwenda kusikiliza ma ujumbe za machumba ao waonaji,ao wauguzi;mwisho wake ni kuchanganikiwa.
R2/Kutetemeka,kurukaruka,kuanguka anguka,kubadirisha sauti,kutonyoa macho,kusema lugha isiyo eleweka,ao lugha asiyojuwa mwenyi kujazwa,kuvumbua siri zilizofichwa,kukiri jina jipya la ahmirado ao la yesu,zisiwadanganye kama kuwa alama ya roho mtakatifu.
R3/Yaweza kumfikia muombaji,kwa kutoa pepo ndani ya mtu,anamumalizia maisha bila kujuwa.kwa sababu kuna wakati pepo zimekwisha kumumaliza,kwa kula damu na kunywa nyama yake kindanindani,pia kimvuli chake(roho-esprit yake)tayari imekufa,naye ni sanamu tu.Basi,mukitoa ile pepo ni vizuri,kwasababu kiisha kufa roho yake(esprit)itaokolewa na kupelekwa mahali pazuri pa pumziko,akiwa na malaika mikhael.
R4/Kuna pepo zinazo wezwa achwa ndani ya mtu hata kama ni mchaguliwa mkamilifu,sababu zinangojelea ushuhuda mkubwa.
R5/Mapepo zinaogopa zaidi mahali kuko furaha na upendo.Mahali mafundisho inasomeka,pia zaidi nyimbo za Mungu mkubwa zinaimbika.Angalisho,usikule chakula cha mtu unaye nungunikia,wala usimpigie ao kumpangia chakula mtu unaye chukia.Zaidi,usifanye tendo la ndoa na mtu usiye sikilizana naye,kwani utakuwa umejiingiza ao kumuingiza,mapepo,mikoshi ao magonjwa.
Q4/KUZIKWA KUBAYA,KUNAWEZA ZURU MTU KIISHA KUFA?
R1/Ndio.yapashwa mtakatifu,azikwe na watakatifu,tena mahali patakatifu(betheli).Hata kama amefia mbali sana na baraka-fizi-betheli-mwambangu.Kitu moja ya mwili yake,iletwe kuzikwa betheli,kama vile nywele,jino, makucha ,mfupa,nyama,shati,chupi,mahali ali sahini(sa signature ou empreinte digital ou autres)picha yake hata kama iko na watu wengine,sauti yake(cassette sonore ou video).Na yote hii ikikosekana,jina lake tu linatosha.
R2/Wachawi na warozi wabaya,wanatafuta na kupata saana viini vya mwili wa mchaguliwa kiisha kufa,ili wapate kwa njia ya viini vile,kufanya irizi(bizimba)vya kuweza zuru wachaguliwa wazima,pia wapate ujuzi na faida nyingi huko kuzimuni.Ndio kwa maana musishangae kuwaona watu wanauluza uliza wapi mtu Fulani amezikwa,kwa sababu kweli wamemkosa,baada ya kutumwa kwa njia zote roho ao viini(vizimba)vya mchaguliwa.Na wanawaamuru wasipoleta kitu kimoja kati ya vitu hivyo,azabu yao ni kuuliwa.
R3/Wakati warozi na wachawi wabaya wanakuja kumjaribu mchaguliwa,ao kuwawangia(kukinda)karibu ya mchaguliwa;kwanza wanapigwa kwa fimbo ya chuma,ao ya moto wasio iona,ao wanaona nyumba yake kuwa bahari ao mtoni mkubwa,wala ikiwaka moto.Wengine wanajikuta chini yote,kumeota miiba mirefumirefu,aina ya ile baba mtukufu alishuka nayo toka mbinguni,ao ile ya bwana wetu yesu kristu wa kweli kumsalaba.Tena wanashindwa kumyanyua mchaguliwa,kumtosha inje.kwani anakuwa na kilo 10.000.
R4/Kwakuepukana na mitego ya warozi na wachawi waharibifu,mchaguliwa ajikaze zaidi nayale anayo kula ao kunywa,pia Yale anayechanga naye damu.Ni hapo kiingilio na kitokeo cha mema na ubaya wote.Ulozi ni mikopo ya chakula(mlo).Ukipenda na kuabudu mlo saana,sharti ulozi utakutawala.Na hakuna chakula bora kuliko ma mboga-mboga,pia matunda-matunda,zaidi asali pia maziwa,ni dawa kwa magonjwa yote.Ule nyama ya kondoo mara moja,ao ya njiwa,utakuwa na urahisi wa nguvu za kuona na kusikia kiroho kama umejitakasa.Sela.
Q5/KUNA WAROZI AO WACHAWI WAZURI?
R1/ndio mchawi ao murozi anaye kamilika ndani ya mafundisha ya kitabu chenyi mihuri saba,akiwa ametubu,(ao kujifunua)anaweza tenda mambo mazuri saana kuliko hata mchaguliwa wa kawaida.
R2/Huyu mchawi wala murozi,aliye amini Mungu Mkubwa Ahmirado kwakweli;kwanza anaona mbali,anasikia vya mbali,pia anaweza okoa mchaguliwa mwengine ndani ya shimo.Anaweza tumiwa katika nyumba ya Mungu,kuwa mlinzi ao mshahidi.Ushuhuda wake unajenga imani nakuleta wokovu kwa watu wengi.
R3/kwakuweza mtu(mchaguliwa)muharibifu apitia njia gani kabisa?Huyu mharibifu,anachagua mtu ao watu walio karibu saana kimwili ya baba mtukufu,anawavuruga akili,zamiri na roho,nao wanamuvuruga baba mtukufu,na kuvuruga wachaguliwa wote.Anawatia kiburi ili wajione kama wao ni wa lazima kuliko wengine,na kuwatuma wafanye zambi ao kosa kwa makusudi,kama mungu wa jamaa takatifu atawavumbua.Naye muumba anakaa kimya nao wanaendelea katika uzalimu na kupotea kabisa milele.
R4/Tena muharibifu anaingilia mtu kupitia kitu mtu Yule anapenda zaidi.Inafaa zaidi kumtangulia muharibifu,wakati unaanzaona kosa mara kwanza kwa mchaguliwa,ndugu ao rafiki yako.Ukingoja kosa ao zambi kuendelea ndani mwako itakomaa na utashindwa kuimaliza mpaka itakuletea mauti.
R5/Musiwaache watoto wenu kufuata mafundisho,ao kufanya mazowezi ya nyimbo.mwana umleavyo ndivyo akuavyo.Mfanye masomo zenu kwa watoto wenu,hospitali zenu kwa wagonjwa wenu,soko zenu kwa viashara vyenu,na serkali yenu kwa dunia yenu.Bila hivyo mutabaki watumwa milele
Baba Mtukufu-Mwangaza wa dunia.
No comments:
Post a Comment