ITOCHA (MAANA YAKE KUULIZA) NI
AINA YA MAFUNDISHO YA WATAKATIFU NDANI YA JAMAA TAKATIFU, KUTOSHA
WACHAGULIWA NDANI YA GIZI YA KUTOKUJUA
ITOCA 1
Q1.Nani anastahili kutafsiri ao kueleza maonyo?.
R.kila mchaguliwa anapashwa aeleze maonyo yake ao ya mtu mwengine na kuitafsiria kadiri ya imani na hekima yake.
Q2 Kuna umbalimbali kati ya ndoto ao maonyo?
R.ndio.ndoto ni filamu ao sauti mtu anaona ao kusikia,akiwa katika
usingizi mzito(mkubwa).maono ni filamu ao sauti,mtu anayeona ao kusikia
akiwa macho wazi ao nusu usingizi.
Q3.mchaguliwa ao jamaa takatifu,inaweza kuongozwa na ndoto ao maonyo tu?
R.Ndio na hapana.Maonyo ao ndoto zinaweza ongoza mchaguliwa vizuri
ao vibaya kulingana na imani pia hekima yake;ila ndoto na maonyo tu
haziwezi kuongoza mchaguliwa pekee tu.ila ukichanga na maandiko
matakatifu,malumbano ya hoja,kitabu chenyi mihuri saba,ushuhuda na
mashahuri ya viongozi mitume,mapasta,wainjilisti na wazee wa taifa
takatifu,kuongezea maombi,mafungo na utowaji,pia utii.Kweli tena ndoto
na maonyo yaweza kuongoza mchaguliwa na kumuharifu maneno yote
itakayokuja,pia kumfunulia yale iliyopita.
Q4.Kuna maonyo ao ndoto isiyowezwa kuelezwa?
R.Ndio na hapana.Siri-siri ni mbinu za muharibifu.Lakini
kunapashwakuwa siri takatifu,inayolindwa na wateule wa Mungu Mkubwa
tu.Kwa sababu kushinda adui ni kujua siri yake.Kwa ajili ya
kuaminiana,sherti mchaguliwa aseme ndoto na maonyo yake kwa mume,muke,ao
mtoto wake.Zaidi aeleze kwa wachaguliwa wenzake,ao kwa viongozi,ikiwa
ni nzito mno.
Q5.Ndoto ao maonyo,inaweza povusha imani ya mchaguliwa?
R.ndiyo.Ukimuendea muasi akufasirie ndoto,na kusema ulionyeshwa
unavaa kanzu mweupe nayeye kanzu mweusi;atakujibu kama hivi(Unaona wewe
umepotea na mimi nimeokoka.sababu wewe utakufa na mimi nitaishi.wewe
ungali ku makanisa za wazungu,na mimi nachungwa na mababu weusi).Ndoto
ni nzuri kwa walio wazuri,na ndoto ni mbaya kwa walio wabaya.
ITOCA2
Q1.Namna gani mchaguliwa anaweza kusaidia roho ya mtu kiisha kufa isihangaike wala kuhangaishwa?
R.Hauwezi kusaidia roho ya mtu kiisha kufa isihangaike,kama wewe
mwenyewe roho yako kimwili ao kiroho,ingali bado inahangaika kimwili
wala kiroho.Kama unahakikisha ndani mwako yakama una amani ndani ya roho
yako kwanza,na unaimani kwa Mungu Mkubwa wako Ahmirado;yatosha
kwako,kutaja jina ya Yule aliyekufa,na kusema tu kwa sauti yako,nia na
manuwizi yako mema kwa ajili ya wokovu kiroho ya roho ya Yule aliye
hamishwa.Unaweza fanya vilevile hata kwa roho ao mioyo ya watu waliokufa
wasio wachaguliwa.Lakini ni vema kuokoa roho ya mtu kabla
hajakufa,kuliko kiisha yeye kufa.
Q2.Kuomba na kunuwia roho ya mtu aliyekufa inatosha hiyo peke yake tu,kumkomboa kiroho?
R.Hapana.mchaguliwa ao kiongozi anapashwa fanya mafungo ya siku
tatu,kwa kunuia roho ya mchaguliwa aliye hamishwa,akitaja jina lake na
jina jipya.
Q3.Tutajuwaje na kuhakikisha yakama maombi tuliyofanya kwa mchaguliwa aliye hamishwa yakama imefaulu?
R.Ni kwepesi kutambua yakama maombi imefaulu ao la.Kwa sababu
utapata alama tu,kimwili wala kiroho;mbele ya siku 40 kiisha kufa kwake.
Q4.Halafu kama mtu tunaye ombea roho yake,alikua na zambi nyingi
bila sisi kujua,maombo yetu itakuwa na maana gani ajili ya roho yake?
R.Mtu aliyekufa,hana tena zambi atakayo fanya.Kwa hiyo,tangu siku ya
kufa kwake,mpaka umilele wa roho yake ni utakatifu tu.Njo kwa maana;awe
na zambi wakati alikuwa duniani,haiwahusu nyinyi mulio duniani kwani
hukumu si yenu.
Q5.Kuna watu walio na uwezo waku hangaisha roho na nafsi ya mtu aliyekufa kwa uchawi ao maarifa ya uharibifu?
R.Ndio.wanao uwezo wakuhangaisha roho na nafsi ya mtu aliyekufa,ila
nao pia kiisha kufa,wanahangaishwa.kwa hiyo,ni peke yake Mungu
Mkubwa,anayo uwezo wa kifo na uzima,Baraka na laana.
Q6.Kwa nini jamaa takatifu inamuita shetani zaidi kuwa mharibifu?
R.Kwa sababu hata jina la Yesu linaweza tumikishwa kwa ushetani,na
shetani kwa u Yesu.Maji ni mazuri na matamu kwa kunywa.Ila ukizama
majini;maji hiyo inageuka shetani kwako.Mvua ni Mungu kwa mashamba na ni
shetani kwa maporomoko na minyonyomoko.Muwe mukijua.Muharibifu njo adui
zaidi.
ITOCA3
Q1.Yafaa watu walipe ajili ya kuombewa?
R.Inaombwa mtu kula ili aishi?
Ndio.Yeyote anayepewa neema kimwili wala kiroho na Mungu
Mkubwa,ndani ya taifa la jamaa takatifu;sherti atoe shukrani kadiri ya
uwezo wake.Sela.
Q2.Kiongozi ndani ya jamaa takatifu anapashwa kutumika kazi zingine za kimwili na kuacha kazi ya taifa la jamaa takatifu?
R.hapana.Kazi ya mwili haiwezivunja kazi za roho.Ila kama kazi hizo
za mwili zinasaidia kuinua kazi za kiroho nivema mchaguliwa wala
kiongozi,kutumika kazi zote;zaidi kama wachaguliwa wanashindwa
kumulea.Ila kazi hizi,zisiwe mwanzo la anguko kwake,wala kwa
wachaguliwa.Mfano ni kwamba;baba Mtukufu mwenyewe anatumika na
anatafuta.Shahuri nikwamba;mchaguliwa asingojelee aombwe mchango ao
msaada.Anapashwa saidia na kuhudumia viongozi ao wachaguliwa wenzake
kila siku kama vile anavyo hudumia jamaa lake.
Q3.Sadaka gani zaidi yamfurahisha Mungu Mkubwa hasa?
R.sadaka maana yake SAA.DAKIKA NA KAMILI. Yaani : SA-DA-KA.
Toa kwa saa na dakika inayo hitajika,na sadaka yako iwe kamili,apana
kilema wala kipande.Ni sadaka ya faida gani,wakati mwenye nyama anaitoa
kwa moto wakati imekwisha oza?Ao mwenyi moto,kukaribisha mwenyi nyama
na moto imezimika?
Q4.Naweza towa;ni raisi.Alafu kujitolea ni nini?
R.Ndio.Kuna umbalimbali katika sadaka.Kuna sadaka ndogo.Kuna sadaka
kubwa.sadaka ndogo yaleta mibaraka midogo,na sadaka kubwa yaleta
mibaraka Mikubwa.Kutoa kitu chako ni sadaka ndogo na kujitowa mwenyewe
ni sadaka kubwa saaana.
Q5.Halafu kama unatoa mbuzi ao kondoo kwa Mungu Mkubwa ;nayo inakata kamba na kukimbia ;itakuwa kosa ya mbuzi ao ya Kamba ?
R.Mbuzi kukata kamba,sio kosa ya mbuzi wala ya kamba ;ila ni kosa ya
mwenyi mbuzi.Sherti alipe mbuzi ingine ;wala ajitie panafasi ya mbuzi
;na afungwe kamba mwenyewe .Muwe mukijuwa.
ITOCA4.
KWA AJILI YA UFUFUKO WA WAFU
Q1.Ufufuko wa wawafu,nikatika kimwili ao katika kiroho ?
R.Ufufuko wa wafu ni katika mwili na katika roho.Tunafufuliwa kutoka
katika kutokujua kweli,na tunafufuliwa ndani ya kweli.Njo kwa maana
imeandikwa,waliokufa watafufuka na kuinuliwa na walio wazima
watabadilika.Yaani ;kubadilika ni kufufuliwa.Sela.
Q2.Lugha gani wafu wanasema ?
R.Wafu wote wanasema na kusikia lugha zote.ila wanasema lugha ya
Bubu na ya Zamiri Roho.Yaani kuzungumuza kwa sauti ya ndanindani.
Q3.OLAMEN ni lugha gani na inafaa kwa nini ?
R.Olamen ni lugha Adam na Eva walikuwa nazungumza katika bustani la
Edeni.Pia ni lugha wa Babeli walikuwa nazungumza,wakati walikuwa najenga
mnara wa babeli ya kwanza.Malaika wanaijua na kuisema.Majini na pepo
zote zinaijua na kuisema.Wenyi kutuma na kuamuru
wafu,wanawaamuru,kupitia lugha Olamen.Lugha Olamen inaandikwa na
kusomeka kuendea kushoto.Yaani(de droite à gauche).
Q4.Mtu akikutanana na mufu,ao na roho(esprit),akimbie ao aseme nayo ?Na atasema nayo nini ?Namna gani ?
R.Jina jipya Ahmirado ;kuisema mara saba tu,njo dawa na silaha ya
kuongea na malaika,roho(esprit)ao wafu wazuri ao wabaya.Ukisema ahmirado
mbele ya roho mbaya,inapashwa kukimbia ao kukosa nguvu yoyote.Ikiwa ni
roho nzuri,inapashwa kukupatia habari muhimu,wala haitazuru mchaguliwa.
Q5.Mchaguliwa anaweza jua kama yu karibu kufa ?
R.Ndio.Inapashwa mchaguliwa awe tayari kupokea habari na ujumbe
nzuri ao mbaya toka kwa Mungu Mkubwa,hata kama ni ujumbe wa kuhamishwa
kwake.Na kama mchaguliwa anapata ugonjwa unao endelea ;sherti atajarishe
roho na maisha yake ya kiisha kufa.Wala kufa sio ajali ;bali ahadi
timamu kwa watu wote.(promesse accomplie).
Q6.Mchaguliwa akihamishwa ,tufanye nini tujue kama amesafiri vizuri na wachawi wabaya wasisumbue roho yake ?
R.Inafaa makuhani,viongozi ao mchaguliwa yeyote kwanza apate karamu
ya mwisho.Pili ataje jina jipya kwenyi mwili wa mufu,ao kutaja jina
lake(mufu) mara saba na jina jipya mara saba.Ao kukaburi lake,ananuia
mharibifu asipasogelee.Ila siri kubwa kwa ajili ya ufufuko wa wafu ni
jina jipya Ahmirado tu.
Q7.Kwanini karamu ya mwisho ?
R.Karamu ya mwisho ni uzima wa milele.
Inageuza ukoo wa mwili na wa roho ;kutosha watu katika kizazi cha
nyoka na kuingizwa ndani ya kizazi cha mwana kondoo wa Mungu Mkubwa.
Q8.Anayepata karamu ya mwisho hawezi potea ?
R.hapana,hawezi potea kamwe.Ila kama hakutembea ndani ya mapenzi ya
Mungu Mkubwa ku dunia,kiisha kufa anapita ndani ya matohara makubwa na
yakudumu kadiri ya ubaya aliyotenda ku dunia.Baadaye kama kiisha myaka
mia,elfu;katika mateso na kuangaika matoharani;mchaguliwa aliyepokea
karamu ya mwisho,anaingizwa paradizo.
Q9.Kama mchaguliwa anakataa kupokea karamu ya mwisho,maana yake nini?
R.kama mchaguliwa akikataa kupokea karamu ya mwisho;kwanza huyo sio
mtu na sio mchaguliwa.Pili;anastahili kutendewa kama vile nyama.
Q10.Damu,Damu,Damu;inakazi gani katika ufalme wa Mungu Mkubwa?
R.Ufalme na Damu ni kitu kimoja.Ufalme njo damu,na damu njo
ufalme.Kwasababu ufalme inachunga uzima wa watu wake,yaani damu yao.Na
pasipo damu hakuna ufalme.yaani,bila watu hakuna mwami wala bwami.Ufalme
ni watu na watu njo ufalme.Hata kama watu ni wachache,nao wana
msimamo;kweli watasimamisha ufalme wa Mungu Mkubwa.
Q11.Yafaa kumwanga damu kwa kusimamisha ufalme wa Mungu Mkubwa?
R.Hapana hata kidogo.mchaguliwa hawezi kupanga kumwanga damu,ili
ufalme wa Mungu usimame.Ila DAMU yenyewe itajimwanga tu,mahali kunapo
patikana ufalme,utake,usipotaka.Sela.
Q12.Kifo cha adui wa ufalme wa Mungu Mkubwa,kina mafaa gani?
R.kifo cha kila mtu kinaleta huzuni.lakini,ndani ya tumbo la
simba,aliyeua samsoni,kulitokea asali.Ingawa kama adui wa ufalme wa
Mungu Mkubwa akifa katika harakati yakuwazuru watoto wa
Mungu;kweli,faida iko tele,tele,tele.Vivyohivyo na kufa kwa
mtakatifu,anayefia neno ndani ya mapenzi ya Mungu Mkubwa;ni faida
kweli,kweli,kweli,kiroho kwa wachaguliwa.
Q13.Watu wa dunia wakifanya vita,sisi watakatifu tutaenda upande gani?
R.Watakatifu hawana upande wakutegemea.isipokuwa upande wa baba wa mbingu,ulio upande wa haki na kweli.muwe mukijuwa.
Q14.Jicho kwa jicho na jino kwa jino mu jamaa takatifu?
R.hapana.mu jamaa takatifu ni jicho kwa roho na jino kwa
roho.Unatoboa jicho la mchaguliwa,unaondolewa roho.Unatoa jino la
mchaguliwa,unaondolewa roho.Angalisho na kumwanga damu,ao kuzuru maisha
ya mchaguliwa.Pia,kwa ajili ya rehema kubwa tuliyopewa;asamehewa hata
mtu Yule aliyeuwa na anaye endelea kuuwa,kama ametubu.
Baba Mtukufu
Mwangaza wa Dunia.
Baraka-Mwambango-Betheli le 7/7/2009
ITOCA 5
Q1.SADAKA YA KILEMA NA YA KIPANDE NI GANI?
R1.Sadaka ya kilema ni ile ya kutolewa baada ya masito mengi na
manunguniko.Tena ni ile sadaka inayo tolewa juu ni masalio.Mfano ;Kula
nyama na kumtolea Mungu Mkubwa mifupa.je !Muumba amegeuka umbwa,ili
baada ya kukuwindia yeye ale mifupa na wewe ule minyofu ?
Sadaka kipande ni mapatano ao ahadi uliyo muahidia Mungu Mkubwa
yakama utatimiza,baadae unageuka wala unatimiza leo na kesho na kuanza
kuregea.Wewe uliyekuwa unafanya zamu ya Mungu Mkubwa ;unaanza kushindwa
kuamka,kupiga magoti usiku kwa kuomba.Sadaka ya kilema ni shukrani ya
punda,ni imani ya macho.Ni baada ya kumuimbia Mungu Mkubwa mchana ;usiku
uko ndani ya nyumba ya walozi.Unashuhudia sasa hivi makubwa ya Mungu
Mkubwa,na huko pembeni unakufuru ajili tu ya kazi ao mapenzi mengine ya
Mungu Mkubwa.Ni heri kutokutoa sadaka,kuliko kuitoa vibaya.
Q2.MARIA MAGDALENA ALITOA SADAKA GANI ?
R2.Hakuna umbalimbali kati ya sadaka ya maria magdalena na ile ya
Abraham . Abraham alimtoa mwanaye wa pekee isaka.Naye maria magdala
hakuwa na mtoto,ila alikuwa na chombo chake,alicho tumia mbele kwa njia
ya uharibifu kabla hajakutana na Yesu Kristu wa Kweli.Chombo hicho
kilikuwa ni ;UJANA WAKE,UREMBO WAKE,UTUPU WAKE,UJUZI WAKE,na JUHUDI pia
ULEZI wake.
Q3.Sasa yeye Abraham,kwa kupata neema ya kuzaa isaka kwa uzee wake,alitoa nini ?
R3.Abraham mbele amtoe isaka,alitoa vitu vingi tu.Mbele ya yeye
kuitwa rafiki wa Mungu Mkubwa,aliitwa pia baba wa imani,kwanza kwa njia
ya matoleo.Bila matoleo hakuna urafiki.Na bila matoleo hakuna
imani.Abraham alichunia wamalaika watatu mfano wa Mungu Mkubwa Kondoo
dike,mfano wa mke wake sarai.Ndipo mibaraka ya uzazi ilipo
tokea.Sela.Naye sarai,akatolea Abraham kijakazi Hagari,ili mibaraka
aliyopewa itimilike kwake.Muwe mukijuwa.
Q4.SADAKA YA UJANA,YA UREMBO,YA UTUPU,YA UJUZI,YA JUHUDI,YA ULEZI NI GANI ?
R4
-Kijana ni mtu mwenyi nguvu,mjanja na mwerevu ;pia mwepesi
zaidi.Sherti atumikishe moto iliyo ndani mwake sasa,kwa kuendelesha kazi
ya Mungu Mkubwa kwa nyimbo,maombi,mahubiri,kazi za jasho na za
akili,pia vita vitakatifu,ajili ya utawalo wa Mungu Mkubwa.Ujana wako
mchaguliwa,isiwe ajili ya sifa mbaya,uasherati,ulevi,magomvi,wizi
mbaya,na uuaji.Kutanisha na kupatanisha watu,bado ungali na wakati
ndefu.Wengine wanaanza hesabu ma dakika tu ajili ya umri wao wa maisha.
-Urembo ni kitu kizuri cha kuvutia.Urembo wa mtoto wa Mungu
Mkubwa,sherti uvutie watu kwa tabia nzuri.Sukari ao chumvi iwe ndani ya
kinywa chako na ndani ya macho yako.Kusiwe kiburi,bali ubani
mtakatifu.Sauti nyororo na cheko ya heshima pia mashauri ya utulivu ni
urembo mtakatifu.Mtu mrembo na mwenyi hekima humpyana Mfalme ao Malkia
katika kiti chake,bado huyo angali hai.
-Utupu ni utukufu.Baba mtukufu,maana yake Baba wa Utupu,yaani
utukufu mtupu.Mungu Mkubwa hajionyeshe wazi kwa watu,kwa sababu yeye ni
mtupu,wala havai nguo hata moja.Alama na mapito yake kwa kumtambua ni
mwingi wa mwangaza na kweli.Ndio kwa maana anaitwa kweli,kweli,kweli «
VUA MAVAZI YAKO YOTE,HAPA NI PAHALI PATAKATIFU ».Maana yake,usisubutu
kusema uongo mbele zake,kwani jicho lake toka mbinguni limewashukia
;kukaa pamoja nanyi milele.Na hili jicho ni baba mtukufu.Utoshe haya
yako,na kujizuia kwa yote iliyo mapenzi ya Mungu Mkubwa.Sela.Utupu wako
ni wa Mungu Mkubwa ;na utupu wa Mungu Mkubwa ni wako.MIMI NDANI MWENU,NA
NYINYI NDANI MWANGU,ALISEMA.ANASEMA NA ATASEMA BWANA.
-Ujuzi ni vyoote tena vyoote mchaguliwa anajuwa.viwe vibaya ao
vizuri,vina mafaa na faida yake,pia wakati wake wa kutumikia Mungu
Mkubwa.Sema unachojuwa ;toa unachokuwa nacho,kiwe kidogo ao
kikubwa.Kwani Mungu Mkubwa peke yake atatenga magugu na ngano.
Ni nani aliyejua yakama ujuzi mbaya,aliye jifunza Musa kwa
farao,itageuka ukombozi wa taifa la Israel ?Na nani alifahamu yakama
;umalaya na ujuzi wa kimapepo mbaya wa maria magdala ;baada ya
kutubu,utageuka nguvu na siri ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo wa
kweli Kaburini ?.
Asiyetoa ujuzi ;huyo ndiye YUDA ESKARIOT.Kuna maria mama wa
Yesu,huyu ni mama wa mchana.na maria magdalena,huyu ni mama wa usiku.Na
wote wanafaa kwa kazi bora,muwe mukijua.Yaani maria mama wa yesu ni mama
wa maombi,yaani wa kitanda.na Maria magdala ni mama wa machozi,yaani wa
Kaburi.
-Ulezi ni namna ya
kulisha,kuosha,kuvika,kutunza,kubembeleza,kupakaa,kukaribisha,kushahuria,kusaidia
na kuvumilia.Bila hii malezi,hakuwezi kuwa masikilizano hata kati ya
wamalaika.Kosa moja shetani mharibifu mbinguni alifanya ;ni kukosa ulezi
kwa Muumba wake na kwa viumbe vyake pia.Lea vizuri na utakuza
vizuri.Sela.
Q5/UTAMTAMBUA NAMNA GANI MTU ANAYEKUWA NA PEPO?
R5/Kwanza kila mtu ana pepo moja.yaani,ile roho yake,inayokaa ndani
mwake(esprit yake).Ila,akiwa na roho(esprit)ingine ndani mwake,isiyokuwa
ao isiyotoka kwa mungu Mkubwa,sasa anakuwa mwenyi mapepo.yaani mtu
asiye jiongoza tena peke yake,ila na nguvu fulani ndani mwake.
Q6/Tutamtambua sasa mwenyi mapepo je ?
R6/Kwanza mtu anaye amini na kuogopa ogopa sana mapepo,huyo ana
mapepo inayo jificha.Kwa sababu pepo iliyo ndani mwake,inaogopa
kukutanana na pepo ingine,ili wasi mgundue,labda watamuhamisha ao
kumfukuza.
Q7/NJIA ZA MAPEPO, MAKAO NA MBINU ZAO NI GANI ?
R7/Kwanza mapepo ina aina tatu
-Mapepo za moto
-Mapepo za baridi
-Mapepo za uchafu
+Pepo za moto,ni roho za wa malaika wachafu,ao
wabaya(waharibifu),zinazofungwa katika moto,ila ziko huru.zinatumika ao
kutumikisha moto,ao joto ;kwa kuzuru watu.Zikiingia mtu,mtu yule
anapatwa na joto ao homa kali,isiyopungua (38-39-40 degré).
Zinakausha damu ya mtu ;nakusababisha atiwe damu ya mtu mwengine,ili
wapate namna ya kuiba roho yake.Pepo hizi,zinatumikisha njia za uzazi
zaidi,na kusababisha tamaa yakupita kipimo ya uzinzi ao
ngono.Zinawaingia watu,zaidi kupitia tendo la ndoa isiyokubaliwa mu
mapenzi ya Mungu Mkubwa na kupenyeza ndani ya tumbo za wamama,watoto wa
nefili(watu wasio kubali shauri,wenyi kiburi saana,wasiokuwa na
huruma,wachoyo,wabishi na wenyi tamaa saaana ya pesa na uasherati,pia
wauwaji).Watoto hawa,wanazaliwa hata ndani ya jamaa za watakatifu na
kuleta mchanganyiko na magonvi chungu nzima katika jamii.Alama yao,ni
watu wasio rizika,wala kushukuru,pia ni wenyi wivu,wachoyo na wenyi
mihali(shali) saaana.Pepo za moto zatumika zaidi ma saa sita
mchana,wakati jua ni kali,na saa sita usiku,wakati watu wengi wako
katika tendo la ndoa.Hizi pepo,zinasababisha moyo ao roho ya mtu kugonga
mbio mbio na zinaleta magonjwa ya kuambukiza,pia malali ya ndege ao
kifafa.Pepo hizi
zinakuja mfano wa mwanaume(wanaume)jitu,jambazi,ao mtu mrefu
saana.Wanapenda sana moshi ao tumbako.Pepo hawa,ni wakubwa wa vita na
michezo(guerriers et artistes).wanaleta akili na ufumbuzi (invantions).
+Pepo za baridi ni roho za wamalaika wachafu ao
wabaya(waharibifu),zinazofungwa katika kibaridi,barafu,mawingu ao chini
ya maji,ila ziko huru.Zinatumika ao kutumikisha
kibaridi.yaani,zikikuingia,mtu anakuwa baridi na moyo inaanza piga
polepole(hypotention)na kusababisha kusimamama kwa damu na moyo(crise
cardiaque).Pepo hizi zazowea kutumika pembeni ao ndani ya
maji.Zinawaingia watu zaidi wakiwa uchi.Zinajionyesha ao kujitapa kama
vile mwanamke(wanawake)malkia(raine)ao mamy water(mamba mtu).Alama yao
wakati wanaingia mtu,anaanza toa machozi bure,yaani bila maumivu.Zaidi
zinatoa chozi,kupitia jicho moja tu,ao zinamfanya mtu kuwa na mecho
mekundu sana.Ni hizi pepo zinazomfanya mtu kuvimba mwili wote,ao kujiona
ananenepa saana bila watu kumuona vile kwa macho.Pepo hizi,zinaogopa
moto na rangi nyekundu,pia uchi.Pepo hizi,zinakataa mtu kula nyama ao
samaki isio na maganda.Pepo hizi haziruhusu kiti yao kuoa wala
kuolewa,kwa sababu wao wenyewe wanageuka bwana na
bibi wa usiku(yaani bibi ao bwana asiye onekana na watu wote).Wakati
wa mvua,wanasababisha maradi,miporomoko na pepo kali na kuzamisha watu
majini,na wengi wao(victimes)wanapelekwa wazima kutumika azia(zimu ya
chini ya maji).Wanawasaidia kuzaa watoto watakao tumwa,kujipenyeza mu
dunia ili wawe wengi zaidi ya watu wa duniani.Pepo za baridi wanapenda
chakula,zaidi matunda saana na harufu ya manukato(malasi) ao ubani,
yaweza kuwaita .Tabia yao ni kusuka nywele na kuficha siri zao katika
nywele,pia mapambo mbalimbali.Zinasababisha kutokuzaa ao kutokupata
nguvu za kiume.Zinatoa ma mimba na kuwauwa watoto.Pepo hizi za kibaridi
zinajua kuimba saana,kucheza na kupiga muziki(chantres et danseurs).
+Pepo za uchafu ni roho za malaika wachafu ao
wabaya(waharibifu)zinazofungwa katika uchafu,jalala,choo,tingitingi pia
ndani ya tumbo(estomac)Hizi pepo zinaleta umaskini kwa watu,ili watafute
njia za uharibifu,kwakufanikiwa ku dunia.Ukipita karibu mahali
zinakuwa,ao kukutanana nazo ;alama ni kusikia harufu mbaya sana ao
kusisimuka nywele,ao kusikia chefuchefu.Zinaishi chini ya udongo na
kufunga mali yote ya dunia huko.Ukitaka kufanikiwa,wanakuomba mtu(damu
ya mtu).Zinatuma watu kufungua makaburi na kuzihaki watu
waliokufa.kukatakata vipande miili ya watu waliokufa,kwa kutumikisha
viungo vyao,ao roho(esprit)yao.Pepo hizi,zinawafundisha watu kufuga watu
wengine(vichwanda) na kuwatesa kiisha kufa.Walozi(magie
noire)wanatumika nao sana.Alama yao ni pepo kama kimvuli cheusi ao pepo
inayovaa nguo nyeusi.Pepo hizi zinatumikisha zaidi umbwa,nguruwe na
pusi,ata vyura popo na nyoka.Zinaletea watu ndoto za uongo ao za
kuchonganisha,pia uonaji,kujazwa,utawa,miujiza
ya uongo,utakatifu wa uongo ao unafiki.Zinasimamia maneno ya sheria,mahakama(droit-justice)yaani uchonganishi katika dunia.
Q8/KUMTAMBUA MTU MWENYI PEPO NI JE SASA ?
R8/Ni kwepesi kwa kumtambua mtu mwenyi pepo
-Anaangalia kwanza vibaya(macho makali)ao kuepuka macho yake isikutane na macho ya wengine.
-Makope ya macho yake inapupapupa ao anaangalia saana bila kope kupupa(longue fixation des yeux).
-Hapati tamaa za mke ao mume
-Anakuwa na tamaa ya uzinifu kama ya umbwa
-Hapendi maombi ao kuimbia mungu mkubwa
-Anasemasema kila mara pesa-pesa-pesa.
-Anataka kujua bei ya kila kitu na habari za kila mtu.
-anabagua chakula na hapendi kula na watu wengine.
-Hapendi kunawa,wala ananawa kila mara.
-Anaweka makucha,ndevu ao nywele ndefu mno.
-Anasikia hamu ya kuua(kumwanga damu)ao kula nyama,zaidi ya mtoto.
-Hapendi kuona wazazi wake,ao hapendi hata kusikia habari zao.
-Anapenda watu wa inje ya nyumba yake,kuliko wa munyumba yake(wainje ya jamaa takatifu,kuliko wa ndani ya jamaa takatifu).
-Ana wakawaka roho kila mara kama mtu aliyekula maharagwe na viazi
vya kishenzi (bijumba),(kihungurira),kichomi cha koo,wengine wanasema
magonjwa ya kifuko cha tumbo(estomac ao gastrite).
-Anakojoa kitandani akiwa ana umri wa zaidi ya myaka 15.
-Anatamani mwanaume mwenzake ao mwanamke mwenzake (besoin sexuel homosexual).
-Anazini na nyama ao wanyama.
-Anabaka ao kuzini na watoto wa umri wa mwaka1 mpaka saba,wanaume ao wanawake.
-Anatamani wazee wazee,ao akiwa mzee anatamani wabinti wa myaka 13 hadi 18.
-hashibi hata akila mara kadha.
-Hasikii njaa kama wengine.
-Anakawia katika choo ao bafuni (douche)
-Ajiona sana kwenyi kiyoo,ao akimbia kiyoo
-Hapati usingizi usiku.
-Analala saana bila kujitambua
-Mlevi saana.
-Mvutaji wa sigara saana.
-Apenda kugombana gombana na mwepesi kuumizana.
-Apenda kuuma wenzake kwa meno.
-Apenda kucheza na watoto kwaku waumauma kwa meno.
-Azowea kucheka vilema ao maskini.
-Apenda ramuli na machanjo.
-Apenda kutosha mimba.
-Anakataa kama alibebesha mimba.
-Asingizia mtu mwengine mimba yake.
-Anaye zowea kupiga mke wake.
-Anaye zowea kurudishia mme wake kofi ao pigo.
-Anayezila wala kumwanga chakula ajili ya hasira.
-anaye tangatanga kiimani na kubadilisha makanisa.
-Anaye ikalia michezo (karata, ludo, soro, mpira na kazalika…..na kusahau kazi zake za kulisha mwili.
-Anaye sikia haya ya kutumikiana ili alipwe.
-Anaye pata matokeo kuzidia siku tatu ya kawaida,ao kupata chini ya siku tatu.
-Anaye kosa kupata matokeo kama wengine ao anaye umizwa saaana wakati wa matokeo.
-Anaye kutanana katika tendo la ndoa, akiwa katika matokeo bila sababu.
-Anaye umiza, kupiga mwili ya kiume ao ya kike (utupu).
-Anaye chukia wakwe wake bila sababu
-Anaye chukia wasengezana wake bila sababu.
-Anaye chukia mtoto wa mume ao mke wake.
-Anayependa kula chakula bado ingali jikoni.
-Anaye kataa kula nyama, chumvi, sukari maziwa bila sababu.
-Anayekosa maziwa ku matiti yake wakati wa kuzaa.
-Anaye jikuta amechanjwa usiku na mtu asiyejua wala kuumizwa.
-Anaye zowea kuita jina la mtu mwengine usiku,kwa sauti ya nguvu saana.
-Asiyependa kulala ndani ya mwangaza bila sababu.
-Anaye temea mate mke, mume, mtoto, mtumishi wake bila sababu.
-Anaye furahia kuzini na mke ao mume nafasi ya choo kubwa.
-Anaye zowea kulamba uchi ya mwanaume ao ya mwanamke bila sababu.
-Anayeficha pesa,hata kama anataka kufa kwa njaa.
-Anaye tumika bila kusikia mchoko.
-Anaye tajirika upesi bila kutoa jasho sana.
-Anaye tumika sana bila kupata faida.
-Anaye furahia kuchungulia watu wenyikuwa uchi ao kuona vitabu ao filamu za aina za uchiuchi.
-Anayekula wala kunywa matokeo ya mwanamke.
-Anayekula nyama ao kiungo cha mtu bila sababu.
-Anaye chukizwa kuzaa watoto wa aina moja tu, wawe wanaume ao wanawake tu.
-Anaye chukizwa na kuona kuzaa ao kuishi na aina ya watu kama kasa,ao mwenyi ulema(deformation Fulani).
-Anaye badirisha wanaume ao wanawake saana bila sababu.
-Anayetoa matusi makubwa azarani bila aibu.
-Anayependa kila mara kwenda kwa mganga bila sababu.
-Anaye jiingiza vidole ao vitu vingine katika uzazi wake wa kike.
-Anaye jirizisha na kutoa maji ya uzima wake bila mwanamke.
-Anayekula mbiombio sana wala polepole sana.
-Anaye tetemeka sana akiona chakula.
-Anaye pata ruharo, akisikia ka habari ka wasiwasi.
-Asiyekuwa na woga wakutembea usiku peke yake safari murefu mahali hakuna watu.
-Anayezini na maiti,ao kuvala sanda ao nguo yake aliyozikwa nayo kwa makusudi mazima.
-Anayekata dawa (kuchuma) akiwa uchi,bila ruhusa ya mungu mkubwa.
-Anayeenda safari bila kukumbuka kurudi kwake upesi
-Anaye jikaza kucheka, kucheza wala kutania.
-Anayependa kuchonganisha ili aone namna watu wanapigana.
-Anaye jisikia kukimbia na aende mbali ajili ya shida inayo mpata.
-Anaye jisikia ugumu ugumu wa kuomba msamaha wala wa kusamehe.
-Anayependa kuvaa nguo za rangi moja.
-Anaye tafuta maisha mu mambo ya ki miujiza-miujiza na kuwa tayari kumwanga damu ikibidi.
-Anaye jitapa eti ataonyesha mtu mwenzake kama yeye ni nani.
Wote hawa wana mapepo,ila alama ni nyingi.
ITOCHA6
Q1/NAMNA GANI PEPO INATOSHWA AO KUFUKUZWA NDANI YA MTU?
R1/Mtu mwenyewe kwanza Yule mwenyi pepo anayo uwezo wakumufukuza pepo ao mapepo iliyo ndani mwake;akiwa bado na ufahamu.
R2/Mtu anayekuwa na pepo,ajue jina ya ile pepo,ila mara nyingi pepo
zina danganya jina zao ao mahali zilipotoka,ao nani aliye watuma,kwahiyo
inapashwa kutisha hiyo pepo kwa nguvu za roho mtakatifu.
R3/Unaweza kumtisha kwa njia ya moto(mushumaa,kiinga cha moto,ao jua
ya saa sita,ao pia jua ya asubui sana yenyi kuanza kutokea.
R4/Kwakutishia pepo kwa njia hizo,yapashwa tu kutaja jina jipya tu
mara saba kwa sauti ao ndani ya roho(zamiri) na kumumwangia ile maji ao
kumuonyesha ile moto,ao ile jua.
R5/Kuna wakati pepo inazarau silaha zote hizo,ila inaogopa saana
picha ya baba mtukufu,ao ya moja wa mtoto wake atakaye pewa mamlaka
hiyo,pia zinaogopa utupu wa mtakatifu,zaidi muke mdogo,wa tangu myaka
zero mpaka myaka 12.Na anayepashwa kuwa mshahidi wa maombi haya,sherti
awe mtumishi wa hema takatifu,ao kiongozi wa jamaa takatifu,nuru kwa
mataifa.
Q2/Ni vema kutoa mapepo nyumbani ao inje ya jamaa takatifu?
R1/Sio vema mchaguliwa peke yake kujipa kazi ao garama
yakujifanyizia chumba cha maombi kwake,kisicho ongozwa na utaratibu wa
jamaa takatifu,kwa sababu nguvu za mapepo zinaweza mukumba mchaguliwa ao
muombaji na kuanza kumufunza ao kumufunulia mambo mazuri ao ya
kweli,naye akadanganywa na kupendelea ushirikiano na zile mapepo za
mgonjwa.Kwahiyo,zinaweza anza kumuletea hata maonyo ya uongo ya
kumutenga na jamaa takatifu ao na baba mtukufu.Kwanza ataanza kujizani
kama amekuwa na uwezo sawa ao kuliko ya baba mtukufu,zaidi ajili ya tama
ya chakula,ao mali(faini-sadaka)anayotoza,kiisha anapotea na kupoteza
wengine.Ikikufikia unafanya ishara ya aina yoyote inje ya jamaa
takatifu,sherti uende kushuhudia hekaluni,na umkabizi mgonjwa ao mfuasi
mpya wa taifa la jamaa takatifu,waendelee kumshurulikia.
Q3/ALAFU KAMA MAPEPO,MAJINI,MIKURI AO MABABU WA UKOO WETU WASIO WACHAGULIWA WANATUFUNULIA MAMBO,TUIKUBALI AO TUSIIKUBALI?
R1/Nuru na gizi haviwezi kaa fasi moja.Kama ujumbe wowote wa kiroho
unatoka mahali popote ulimwenguni,sherti tuusikie,ila tuuaminie na
mashaka.Ni ujumbe toka tu ndani ya hema takatifu,inayo ongozwa na baba
mtukufu tu,njo ya kukubaliwa mia kwa mia.Zingine ujumbe za inje ni
ushuhuda tu.Hata kama inaletwa na mchaguliwa anaye aminika sana.Anaye
zowea kwenda kusikiliza ma ujumbe za machumba ao waonaji,ao
wauguzi;mwisho wake ni kuchanganikiwa.
R2/Kutetemeka,kurukaruka,kuanguka anguka,kubadirisha sauti,kutonyoa
macho,kusema lugha isiyo eleweka,ao lugha asiyojuwa mwenyi
kujazwa,kuvumbua siri zilizofichwa,kukiri jina jipya la ahmirado ao la
yesu,zisiwadanganye kama kuwa alama ya roho mtakatifu.
R3/Yaweza kumfikia muombaji,kwa kutoa pepo ndani ya mtu,anamumalizia
maisha bila kujuwa.kwa sababu kuna wakati pepo zimekwisha
kumumaliza,kwa kula damu na kunywa nyama yake kindanindani,pia kimvuli
chake(roho-esprit yake)tayari imekufa,naye ni sanamu tu.Basi,mukitoa ile
pepo ni vizuri,kwasababu kiisha kufa roho yake(esprit)itaokolewa na
kupelekwa mahali pazuri pa pumziko,akiwa na malaika mikhael.
R4/Kuna pepo zinazo wezwa achwa ndani ya mtu hata kama ni mchaguliwa mkamilifu,sababu zinangojelea ushuhuda mkubwa.
R5/Mapepo zinaogopa zaidi mahali kuko furaha na upendo.Mahali
mafundisho inasomeka,pia zaidi nyimbo za Mungu mkubwa
zinaimbika.Angalisho,usikule chakula cha mtu unaye nungunikia,wala
usimpigie ao kumpangia chakula mtu unaye chukia.Zaidi,usifanye tendo la
ndoa na mtu usiye sikilizana naye,kwani utakuwa umejiingiza ao
kumuingiza,mapepo,mikoshi ao magonjwa.
Q4/KUZIKWA KUBAYA,KUNAWEZA ZURU MTU KIISHA KUFA?
R1/Ndio.yapashwa mtakatifu,azikwe na watakatifu,tena mahali
patakatifu(betheli).Hata kama amefia mbali sana na
baraka-fizi-betheli-mwambangu.Kitu moja ya mwili yake,iletwe kuzikwa
betheli,kama vile nywele,jino, makucha ,mfupa,nyama,shati,chupi,mahali
ali sahini(sa signature ou empreinte digital ou autres)picha yake hata
kama iko na watu wengine,sauti yake(cassette sonore ou video).Na yote
hii ikikosekana,jina lake tu linatosha.
R2/Wachawi na warozi wabaya,wanatafuta na kupata saana viini vya
mwili wa mchaguliwa kiisha kufa,ili wapate kwa njia ya viini
vile,kufanya irizi(bizimba)vya kuweza zuru wachaguliwa wazima,pia wapate
ujuzi na faida nyingi huko kuzimuni.Ndio kwa maana musishangae kuwaona
watu wanauluza uliza wapi mtu Fulani amezikwa,kwa sababu kweli
wamemkosa,baada ya kutumwa kwa njia zote roho ao viini(vizimba)vya
mchaguliwa.Na wanawaamuru wasipoleta kitu kimoja kati ya vitu
hivyo,azabu yao ni kuuliwa.
R3/Wakati warozi na wachawi wabaya wanakuja kumjaribu mchaguliwa,ao
kuwawangia(kukinda)karibu ya mchaguliwa;kwanza wanapigwa kwa fimbo ya
chuma,ao ya moto wasio iona,ao wanaona nyumba yake kuwa bahari ao mtoni
mkubwa,wala ikiwaka moto.Wengine wanajikuta chini yote,kumeota miiba
mirefumirefu,aina ya ile baba mtukufu alishuka nayo toka mbinguni,ao ile
ya bwana wetu yesu kristu wa kweli kumsalaba.Tena wanashindwa kumyanyua
mchaguliwa,kumtosha inje.kwani anakuwa na kilo 10.000.
R4/Kwakuepukana na mitego ya warozi na wachawi waharibifu,mchaguliwa
ajikaze zaidi nayale anayo kula ao kunywa,pia Yale anayechanga naye
damu.Ni hapo kiingilio na kitokeo cha mema na ubaya wote.Ulozi ni mikopo
ya chakula(mlo).Ukipenda na kuabudu mlo saana,sharti ulozi
utakutawala.Na hakuna chakula bora kuliko ma mboga-mboga,pia
matunda-matunda,zaidi asali pia maziwa,ni dawa kwa magonjwa yote.Ule
nyama ya kondoo mara moja,ao ya njiwa,utakuwa na urahisi wa nguvu za
kuona na kusikia kiroho kama umejitakasa.Sela.
Q5/KUNA WAROZI AO WACHAWI WAZURI?
R1/ndio mchawi ao murozi anaye kamilika ndani ya mafundisha ya
kitabu chenyi mihuri saba,akiwa ametubu,(ao kujifunua)anaweza tenda
mambo mazuri saana kuliko hata mchaguliwa wa kawaida.
R2/Huyu mchawi wala murozi,aliye amini Mungu Mkubwa Ahmirado
kwakweli;kwanza anaona mbali,anasikia vya mbali,pia anaweza okoa
mchaguliwa mwengine ndani ya shimo.Anaweza tumiwa katika nyumba ya
Mungu,kuwa mlinzi ao mshahidi.Ushuhuda wake unajenga imani nakuleta
wokovu kwa watu wengi.
R3/kwakuweza mtu(mchaguliwa)muharibifu apitia njia gani kabisa?Huyu
mharibifu,anachagua mtu ao watu walio karibu saana kimwili ya baba
mtukufu,anawavuruga akili,zamiri na roho,nao wanamuvuruga baba
mtukufu,na kuvuruga wachaguliwa wote.Anawatia kiburi ili wajione kama
wao ni wa lazima kuliko wengine,na kuwatuma wafanye zambi ao kosa kwa
makusudi,kama mungu wa jamaa takatifu atawavumbua.Naye muumba anakaa
kimya nao wanaendelea katika uzalimu na kupotea kabisa milele.
R4/Tena muharibifu anaingilia mtu kupitia kitu mtu Yule anapenda
zaidi.Inafaa zaidi kumtangulia muharibifu,wakati unaanzaona kosa mara
kwanza kwa mchaguliwa,ndugu ao rafiki yako.Ukingoja kosa ao zambi
kuendelea ndani mwako itakomaa na utashindwa kuimaliza mpaka itakuletea
mauti.
R5/Musiwaache watoto wenu kufuata mafundisho,ao kufanya mazowezi ya
nyimbo.mwana umleavyo ndivyo akuavyo.Mfanye masomo zenu kwa watoto
wenu,hospitali zenu kwa wagonjwa wenu,soko zenu kwa viashara vyenu,na
serkali yenu kwa dunia yenu.Bila hivyo mutabaki watumwa milele
Baba Mtukufu-Mwangaza wa dunia.